kakamukubwa
JF-Expert Member
- Apr 23, 2012
- 203
- 27
Jamani hodi hodi..? Leo napenda mnieleweshe kwani Usomaji wa Majira ya Saa kwa ki inglish uko hivi..
Saa 1:00 asubuh
English ni 7 :00 am
Saa 2:00 Asbh
Englsh ni 8:00 am
Huu ukaririshwaji aliuleta nani? wa saa 1 kiswahili,7 kiobama.
Saa 1:00 asubuh
English ni 7 :00 am
Saa 2:00 Asbh
Englsh ni 8:00 am
Huu ukaririshwaji aliuleta nani? wa saa 1 kiswahili,7 kiobama.