miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,805
- 49,104
jamani speedcom mbona hukunisalimia jamani .... ningefurahi kukuonaJamani wadau, ni kweli ndiye mwenyewe huyu au kichwa cha habari hakiendani na picha? Maana nimemuona mdada kama huyu huyu mjini hapa punde tu hivi!
Bahati mbaya ningekuwa na uhakika ningemsalimia!
Last edited by a moderator: