Uso kwa uso na miss chagga

Uso kwa uso na miss chagga

used daraja gani...A..B..C...D, siwashatuma maombi sana.....sema raster mimi sili nyamaa hutaniwezaa.matunda mchichaa kwa sanaa

rasta kwani ni nini ... akuu uwe na pesa tu tutaendana hata kama utakuwa unakula hewa...... used second hand
 
Jamani wadau, ni kweli ndiye mwenyewe huyu au kichwa cha habari hakiendani na picha? Maana nimemuona mdada kama huyu huyu mjini hapa punde tu hivi!

Bahati mbaya ningekuwa na uhakika ningemsalimia!
 
Atakaye nionesha sura ya Lala 1. Nampa $10. Maana nina fikra hasi juu yake. Nahisi yuko km zombie.

ImageUploadedByJamiiForums1407933642.975361.jpg huyu hapa Lala 1
 
Back
Top Bottom