Usiyoyajua kuhusu Makabila ya Wajita na Wakurya

Wajita na wakurya wamejazana mwanza na wana maeneo yao kabisa,maeneo ya kitangiri,nyamanoro na ibungilo katika kila nyumba 10 basi 7 ni za wajita,maeneo ya igogo,bugarika,isamilo mlimani kwa warunguli,maeneo around bugando hadi kushuka mabatini wamejazana wakurya.
 
Niwajuavyo WAJITA kwa sababu nimeishi nao muda mrefu...

SIFA CHANYA
1.Wajita si kabila kubwa sana, ila wengi wao ni wasomi kuliko Wakurya na makabila mengi ya Kanda ya Ziwa (ukiondoa Wahaya na Wakerewe). Hasa levels za certificates,diploma, bachelor & masters' degree. Kule kwenye PhD ni wachache mno (mfano Prof.Biswalo,yule mtaalamu wa Psychology).

Walio wengi wamejazana kwenye Ualimu,Afya,majeshi, na kazi nyingine za elimu ya kawaida.

2.Wanapenda maendeleo na hushindana sana kutafuta maendeleo.Na akiyapatia maisha hanaga kujificha,lazima mtajua tu kuwa Bwire mambo yake sasa ni safi ile mbaya.

3.Ni moja ya makabila nadhifu kandokando ya Ziwa Victoria. Wanapenda kuvaa sana.Kuna mdau huko juu kasema si ajabu kumuona Mjita anaenda shambani kulima ila amechomekea,miwani juu,na pen kwenye mfuko wa shati.Just imagine!

4.Ni wakarimu sana,na wana huruma kwa matatizo ya wengine.Ukiwa na tatizo anakusaidia.Ukiona hajakusaidia ujue hana.

5.Moja ya makabila around the interlucustrine yaliyo vizuri kwenye mapenzi na mambo ya ndoa.

6.Wanaomboleza kwenye misiba yao haooo!Kama unataka kuanzisha kikundi cha kukodisha cha waliaji kwenye misiba,watafute hawa.Usipompata Mjita basi option ya 2 mtafute Mjaluo.

Yaani Mjita anatoka kwake kwenda msibani macho makavu na story za kufa mtu njiani,ila akifika within 1 kilometer to the msiba area kilio atakachoangusha hapo ni balaa! "Mayaweee,Manyama weswe kagendelee..Uuwiii, ". Wanaliaga huku wanabwabwaja maneno kama yote yaani.

7.Wanapenda misosi ya asili sana.Hata kama umepika pilau lako siku ya Christmas au Eid,lazima na ugali wa muhogo umpikie. Wali sijui na pilau bila 'ubhusima' (ugali)? Hiyo siku mbona imekaa vibaya!

8.Kiimani,70% ya Wajita ni Wasabato.Yaani ni vigumu kuutenganisha Usabato na Ujita, na nilipokuwa mdogo kila Msabato niliyemuona nilijua kwa vyovyote atakuwa Mjita pia (kumbe wapo na wa madhehebu mengine,japo ni wachache).Hii ni ishara kuwa hawa watu waliupokea vyema Ukristo na kupitia huo wakapata elimu dunia.

N.B:Utaamua kama hizo namba 6 & 7 ni sifa njema ama la.

SIFA ZAO HASI
1.Ni waongo waongo,wambeya, wachonganishi, na Wanapenda kufatilia maisha ya wengine:unakula nini,unavaa nini,n.k. Hawa wanajulikana kama 'Wazaramo wa Kanda ya Ziwa'. Lake Zone yote wanawagwaya wajita kwa mdomo.

Pamoja na kusoma kwao,kile kiingereza cha " Mind your own business " hawakukielewa hadi leo. And for your information, CYPRIAN MUSIBA is a Jita man.Anatoka Iramba,wilayani Bunda.

2.Pamoja na ukarimu walio nao,akikusaidia lazima akutangaze. Na pia akijua maisha unayoishi utakoma.Nadhani wanafaa sana kufanya kazi kwenye Media House.

3.Wanaoishi pembeni ya Ziwa Victoria huwa hawana mabafu,wao huenda kuoga ziwani tena uchi wakionekana na kila mtu.Margin unayotenga sehemu wanayoogea wanaume na wanawake ni ndogo sana.

Ukiwa mgeni Ujitani unaweza kudhani uko Miami beach au Bahamas 'mambele' huko.Yaani unamwona Irene aliyemtongoza akakukataa anaoga na kichupi in the open space tena mchana kweupe, na baadaye jirani kidogo unamwona,Nyamisi,dada yako wa tumbo moja anaoga chuchu zimesimama kama msumari na kisha anavua chupi yake anainama na kuinuka akiifua, huku akijua wewe kaka yake unamuona mubashara. Aiseee,maisha gani haya?...sisi makabila mengine tulikuwa tunafedheheka kwakweli.

4.Jamaa hawa ni wabishi sana.Tena bora ukutane na Msabato Mpare kuliko Msabato Mjita,mtabishana mambo ya maandiko mpaka uombe poo!Na ni wabishi hata kwa mambo mengine.

5.Wamekubuhu kwa ushirikina na kuuana kwa sumu za mamba. Ikiwa utaenda kufanya kazi au biashara maeneo yao,na ukakwazana na watu wa huko,hunabudi kuchukua tahadhali ya hali ya juu:usikariri kula kwenye hoteli moja au kunywa kwenye baa ile ile,limit the number of friends. Ukizembea 'wafa, wagenda'.

6.Mengine wataendeleza wengine,maana namba 3 imenivuruga kichwa.

Usisahau: Msemaji wa timu ya football ya Ruvu Shooting, MASAU BWIRE,naye ni Mjita.
Umemaliza kila kitu mkuu kuhusu wajita
 
Ukitaka kuishi kwa raha kwenye ndoa yako kaa mbali na hili kabila LA wakurya waache waoane wenyewe kwa wenyewe watawezana. Hili kabila LA wakurya wanapenda sana na kuabudu matambiko na ushirikina. Mambo ya ukatili na kulogana kwao ni kawaida hawana hofu ya Mungu ukitamka habari za wokovu kwao ni kama unatangaza vita. Ni wapenda Shari hawajui neno samahani kila kitu kwao ni amri tu. Mila zao ni kama zakuita mashetani .mfano MTU wao akifa Leo wakishazika kesho asubuhi sana wanadamkia makaburini kwenda kupiga ukunga kumuamsha marehemu. Hivi nani kawadanganya kwamba marehemu anaamshwa? Huko sindio kuamsha roho za mauti watu waendelee kufa? Na ndio maana unakuta ukoo mmoja kila siku misiba haiishi kwasababu ya kutembea na roho za mauti .maandiko yanasema msitake kujua habari za waliolala. Hili kabila linahitaji wokovu kwa hali na Mali.
hakuna mkurya mshirikina
 
Nawasalimu kwa Jina Baba Mwenyezi aliye Mbinguni

Wakurya na Wajita ni makabila yanayopatikana mkoa wa Mara, Wajita wakipatikazana zaidi Bunda na Majita
Wakati wakurya wanapatikana kwa wingi Rorya na Tarime

Makabila haya ni ya watu wanaojiheshimu na wastaarabu Sana Tena Sana tatizo la haya makabila hawataki kuonewa, kunyanyaswa au kudhulumiwa kitu chake hapo mtamalizana papo kwa papo kwa mbinu yeyote anaeijua yeye.

Ukioa mwanamke wa kijita au kikurya umepata mwanamke wa familia ni wavumilivu mno, Tena mno.

Makabila haya watu wake hawajui kuongea kwa kubembelezana wao kuongea kwao ni Kama amri ya Jeshi
Ukiwa mgeni katika mkoa wa Mara utajua namaanisha Nini.

Wanapenba kula ugali wa mtama uliochanganywa kwa unga wa muhogo (udaga) pamoja na samaki na nyama

Haya ndiyo niliyaona miaka 5 niliyoishi mkoa wa Mara
Kwahyo hukuona maendeleo yoyote zaidi ya kula ugali wa mtama na udaga🤔
 
nimekaa mwanza experience yangu ya watu wa mara kuhusu wajita hapana kwa kweli aisee ni wachonganishi mnoo na umbeya plus uchawi, wakurya wao ni fujo tu, wajaluo umalaya hata wajita umalaya pia
 
Haya makabila bana wako ivi hawatawazi kwa maji wao ni miti majani, michanga, miamba chupa au visu na mapanga wana namna ya kuvishika visiwaumize wanadai ile ukiiokokotoa inatoa uchafu wote! Maji wanaona unapoteza muda! halafu hawapendi kushika shika huko! na vidole!

usiwe mwepesi kukimbilia kisu ukiwa maeneo yao! halafu kadiri anavo chambia panga linakuwa na sumu ya kuua haraka na kumlinda mkataji na adui yako wanaamini madonda hayata pona haraka!!

kingine ukimpiga adui yako na panga ulilo chambia anakushau faster! ni nadrasana kukukumbuka!! pia anaweza kuku control kwa kutumia kisu kile kile ndo maana walipenda sana kutumia singe vitani kuliko risasi!

singe nyingi jeshini zilichambiwa na wajita na wakurya wkt wakiwa mstari wa mbele!! ukitaka kuprove jiumize na singe uone km utapona! wachache wanalijua hili! hizi ziliwafanya pia wasionekane kirahisi! kwa adui!

hata akienda polisi kesi inakuwa magumashi!! but wao wana namna ya kufanya ili kuififisha hiyo nguvu na kesi kufuatiliwa!! usikubali kabisa uchomwe kisu au upigwe Panga na Mjita au mkurya!! km ikitokea ujue umepigwa upande wa nyaa! kesi kwishne! hii ni siri yao!

Muhogo ni dawa kubwa sana watu hawajui tu! ndo maana wanapenda ugali ya muhogo! sasa ukichambia kisu ulicho kulia ugali wa muhogo! na kile kisu ukakitumia kikiwa kwenye hala yake halooooo!!

siendelei zaidi msije mkajaribu bureee!! mkitak wafuateni wenyewe pale kitunda kwa akili vinginevo mura yatakwambi umechuache na wewe siyo mkuria mura........unataka kubhindua sirikalri!
 
Haya makabila bana wako ivi hawatawazi kwa maji wao ni miti majani, michanga, miamba chupa au visu na mapanga wana namna ya kuvishika visiwaumize wanadai ile ukiiokokotoa inatoa uchafu wote! Maji wanaona unapoteza muda! halafu hawapendi kushika shika huko! na vidole!

usiwe mwepesi kukimbilia kisu ukiwa maeneo yao! halafu kadiri anavo chambia panga linakuwa na sumu ya kuua haraka na kumlinda mkataji na adui yako wanaamini madonda hayata pona haraka!!

kingine ukimpiga adui yako na panga ulilo chambia anakushau faster! ni nadrasana kukukumbuka!! pia anaweza kuku control kwa kutumia kisu kile kile ndo maana walipenda sana kutumia singe vitani kuliko risasi!

singe nyingi jeshini zilichambiwa na wajita na wakurya wkt wakiwa mstari wa mbele!! ukitaka kuprove jiumize na singe uone km utapona! wachache wanalijua hili! hizi ziliwafanya pia wasionekane kirahisi! kwa adui!

hata akienda polisi kesi inakuwa magumashi!! but wao wana namna ya kufanya ili kuififisha hiyo nguvu na kesi kufuatiliwa!! usikubali kabisa uchomwe kisu au upigwe Panga na Mjita au mkurya!! km ikitokea ujue umepigwa upande wa nyaa! kesi kwishne! hii ni siri yao!

Muhogo ni dawa kubwa sana watu hawajui tu! ndo maana wanapenda ugali ya muhogo! sasa ukichambia kisu ulicho kulia ugali wa muhogo! na kile kisu ukakitumia kikiwa kwenye hala yake halooooo!!

siendelei zaidi msije mkajaribu bureee!! mkitak wafuateni wenyewe pale kitunda kwa akili vinginevo mura yatakwambi umechuache na wewe siyo mkuria mura........unataka kubhindua sirikalri!
Wewe unaonekana ni mtu wa pwani ambaye hajawahi kutembea sehemu yoyote zaidi kusimuliwa vijistori uchwara huko kwenye vilinge vya wavuvi wa Ngisi na pweza.
Stupid
 
Wewe unaonekana ni mtu wa pwani ambaye hajawahi kutembea sehemu yoyote zaidi kusimuliwa vijistori uchwara huko kwenye vilinge vya wavuvi wa Ngisi na pweza.
Stupid
Pamoja na kujiita jina la ''Mkaruka'' wewe siyo Mkurya wala Mjita usijipendekeze kwa makabila ya watu!! Unadhani ndo utavuta usikivu? sijui kwa nini watu wengine wanapenda makabila ya watu wengine km wewe ni mmakonde si ukubali tu jamani? heee!!
 
Pamoja na kujiita jina la ''Mkaruka'' wewe siyo Mkurya wala Mjita usijipendekeze kwa makabila ya watu!! Unadhani ndo utavuta usikivu? sijui kwa nini watu wengine wanapenda makabila ya watu wengine km wewe ni mmakonde si ukubali tu jamani? heee!!
Mini Mzanaki, wala sihitaji kuwa kabila jingine.

Ila hiki ulichokiandika hapa ni upumbavu mtupu, na mimi ni msema kweli.
 
Mini Mzanaki, wala sihitaji kuwa kabila jingine.

Ila hiki ulichokiandika hapa ni upumbavu mtupu, na mimi ni msema kweli.
unajipendekeza tu wala si mzanaki!!! nasema mmamkonde tunakujua kitambo sana!! upumbavu wa Mungu ndo akili!! funguka siyo unaropoka ropoka tu!
 
unaonekana ni mtu wa pwani ambaye hajawahi kutembea sehemu yoyote zaidi kusimuliwa
Nikweli mie wa pwani! lkn ndo kuna maendeleo kuliko sehemu yeyote ile!! wajinga wajinga wanakuja humu tunawafundisha
Basi njoo ukalie chuma. Hakikisha umeiosha
ulijuje chuma kinakaliwa?? bila shaka ulisha kalia sana mkuu!! sasa unatafuta kick!!! unaniita kijanja!! ili ukalie wewe!! sababu tu umejua mie mtu wa pwani! ndo zetu! sie hatuendagi popote sababu wakuja ni wengi yaani nyie mkimbie sie tuende mweee!!

any way nakuja kweli kukikalia!! tuone!! wala usipate tabu!! na ujue wahenga walisemaga huko nyuma ''asifuye mvua imemnyea''
 
Nikweli mie wa pwani! lkn ndo kuna maendeleo kuliko sehemu yeyote ile!! wajinga wajinga wanakuja humu tunawafundisha

ulijuje chuma kinakaliwa?? bila shaka ulisha kalia sana mkuu!! sasa unatafuta kick!!! unaniita kijanja!! ili ukalie wewe!! sababu tu umejua mie mtu wa pwani! ndo zetu! sie hatuendagi popote sababu wakuja ni wengi yaani nyie mkimbie sie tuende mweee!!

any way nakuja kweli kukikalia!! tuone!! wala usipate tabu!! na ujue wahenga walisemaga huko nyuma ''asifuye mvua imemnyea''
Hakikisha una uwezo wa kuvumilia maana mimi nakula nakula udaga, nitakupasua vibaya mnoo
 
Back
Top Bottom