Usiyoyafahamu kuhusu Malawi

Vipi Power No. 1? Hukuziona huko?
 
Nakumbuka samora Machel alisema anaenda Zambia alirudi yeye na Nyerere waichape Malawi halafu wagawane,maskini Machel ndio hakurudi mzima
Nalog off
Hii ishu ya Mwalimu kuipiga Malawi mmeitoa wapi?

Kuna hotuba moja nilimsikia Mwalimu, wakati anaongelea ishu ya vita ya Uganda, alisema alilazimika kutuma ujumbe Malawi kwani Wafukunyuku walikuwa wameanza kuzusha kwa Kamuzu kuwa Mwalimu kamaliza kwa Amini sasa anakuja kwako.

Kwa hiyo kwa kifupi Mwalimu alisema Wazushi ndio walikuwa wanaeneza hizo habari ili hali hakuwa na sababu ya kupigana na Malawi.

Ingawa kweli Mwalimu alitofautiana na Kamuzu kwa ishu ya SA, hayo ya kupigana ilikuwa ni kazi za Wazushi.

Sasa nawe hapa naona umemuongeza na Machel.
 
Huo uzushi unaousema wewe ndio ukamfikia machel na ndipo aliposema kuwa naenda Zambia nikirudi huko naenda kuongea na Nyerere ili tuichape Malawi halafu tugawane
Nalog off
 
Siasa za ubepari matajiri wanawekeza wanapopata faida
 
hata sisi tulikuwa hatuna visa za kuingia uk mpaka wanaijeria waliponunua passport zetu na kufanya yao na sweden walituponza wasomali waliokuwa wakichana passport airport na kuomba ukimbizi
 
Hawa majamaa ni maskini lakini chakushangaza wanamiliki magari ya bei kali, mtanzania hawezi kwenda Malawi bila passport au border pass kila baada ya kilometer chache Kuna polisi check lakin mmalawi anaweza kisafiri mpaka Dar bila kugundulika.

Kwa Malawi wakihisi kama wewe siyo mmalawi nakuongelesha kichewa na usipojbu wanajua wewe ni mzamiaji utajuta kuzaliwa.

Wengi wao wanakuja kufanya shopping kyela kama km 17 from border bila ya kuwa na passport au border pass, kwa Malawi huwezi kutembea km 17 bila kuona police barriers na checking za heavy wait.

Hawa jamaa hawajui kusema nipunguzie bei wao ni kutoa Tu.

Malawi wa viwanda vingi vya sukari kuliko TZ

Wamalawi wengi wanajua kuongea ngeli kuzidi TZ

Ukubwa wa nchi yao ni kama mkoa wa Mbeya + songwe

Wengi wao wanatamani Sana kufika Daslam

Hakuna wanawake wazuri Malawi

Kwa uchawi Wako vifua mbele kuliko TZ
 
Naungana na wewe,sijawahi muona demu mkali kutoka Malawi,halafu nasikia kuna wamalawi wengi tu mitaa ya kinondoni,mi nilisoma secondary na mmalawi mmoja hivi!
Nalog off
 
Wanigeria wajanja kinoma. Sisi tupo hapa karibu hatukuona fursa wao wametoka mbali huko wakapiga mishe.
Hakuna ujanja hapo tatizo ni lugha ukilinganisha na wenzetu, Kwa wenzetu aliyemaliza p7 ungeweza kumkabidhi pasport ya malawi akapita lkn kwetu mpaka umtafte aliyemaliza chuo kikuu, wakat mwingine naye anayumba
 
Naungana na wewe,sijawahi muona demu mkali kutoka Malawi,halafu nasikia kuna wamalawi wengi tu mitaa ya kinondoni,mi nilisoma secondary na mmalawi mmoja hivi!
Nalog off
kweli mkuu me niwaona wengi kyela wanasoma kuanzia primary mpaka secondary
 
Nita ku pm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…