Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
hahahaha sikunyingine usirudie, ukipata mrembo usimpeleke kwako, bora uwende nae gest
 
Ndio kasha amia hvyo kaz unayo na papuchi umeshakula
 
Kuna kosa kupewa papucci cku ya kwanza?????? utamu hukupata!!!!!!!!
Kama unampenda sioni kama ni inshu kuhamia kwako
Ni kweli lakini sijapangilia hili la yeye kujaishi kwangu
 
Sishangai username yako inafanania na uchoandika

Sishangai unachanganya 'mental' na 'mentor'

Btw narudia tena ni ujinga na upuuzi kuja kuandika ulilolifanya kama vile ni ushujaa.

Ni ujinga na upuuzi kumuita mwanamke cheap just bse she made love to u the first day you met. If anything, wewe ndiyo cheap!

Ni ujinga na upuuzi kuanzisha thread kumponda mtu ambaye hayupo...coward behavior. Go face her..mwambie!

Ni ujinga na upuuzi kumpeleka geto kwako demu wa kuzugia.

Ni ujinga na upuuzi kudhani 'mentor' ni sawa na 'mental'

Ni ujinga na upuuzi...

Heeeee kaka @ mentor hio sleep over umealikwa?

Dunia hii ukingoja ualikwe mbona utakufa na njaa zako??!
 
Sishangai unachanganya 'mental' na 'mentor'

Btw narudia tena ni ujinga na upuuzi kuja kuandika ulilolifanya kama vile ni ushujaa.

Ni ujinga na upuuzi kumuita mwanamke cheap just bse she made love to u the first day you met. If anything, wewe ndiyo cheap!

Ni ujinga na upuuzi kuanzisha thread kumponda mtu ambaye hayupo...coward behavior. Go face her..mwambie!

Ni ujinga na upuuzi kumpeleka geto kwako demu wa kuzugia.

Ni ujinga na upuuzi kudhani 'mentor' ni sawa na 'mental'

Ni ujinga na upuuzi...



Dunia hii ukingoja ualikwe mbona utakufa na njaa zako??!

Proffesor anasema. ... na mimi naongezea ni ujinga na upuuz kuleta thread ya kupumbavu kama hii..
 
Nikweli namtafutia sababu ya kumwondosha lakini hakosei. Mimba si rahisi, ndom at work.

Hata uoga huna kijana, siku hiyohiyo moja, mnagegedana duh! Na hapo siajabu hata bullet proof hukuvaa lol! Jithamini mtu wangu, taifa linahitaji mchango wako.
 
Sishangai unachanganya 'mental' na 'mentor'

Btw narudia tena ni ujinga na upuuzi kuja kuandika ulilolifanya kama vile ni ushujaa.

Ni ujinga na upuuzi kumuita mwanamke cheap just bse she made love to u the first day you met. If anything, wewe ndiyo cheap!

Ni ujinga na upuuzi kuanzisha thread kumponda mtu ambaye hayupo...coward behavior. Go face her..mwambie!

Ni ujinga na upuuzi kumpeleka geto kwako demu wa kuzugia.

Ni ujinga na upuuzi kudhani 'mentor' ni sawa na 'mental'

Ni ujinga na upuuzi...



Dunia hii ukingoja ualikwe mbona utakufa na njaa zako??!

Mbona mate? Jioni nitamuliza may be we ni shem wangu.
 
Back
Top Bottom