Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Usiwe rahisi kiasi hiki dada

ulikuwa unabeep kapiga sasa unaogopa kuongea..... mkuu hama wewe binti kapata pa kufia
 
Kuna kosa kupewa papucci cku ya kwanza?????? utamu hukupata!!!!!!!!
Kama unampenda sioni kama ni inshu kuhamia kwako
 
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
Kwani ulipo mchukua nyumabni kwako ulimpa T&C? umempeleka kwa ubahili wako wakuchukua hata guest house chumba cha elfu tano, umejipiga mwenyewe usilie na mtu,na bado unampenda manake usingeshindwa kutafuta njia yakumwambia aji pange...........
 
Kwani ulipo mchukua nyumabni kwako ulimpa T&C? umempeleka kwa ubahili wako wakuchukua hata guest house chumba cha elfu tano, umejipiga mwenyewe usilie na mtu,na bado unampenda manake usingeshindwa kutafuta njia yakumwambia aji pange...........

loh ebu mpende mwanamke mwenzio..unataka akagegedwe kwenye guest tena..anaonekana kabisa kuwa anaenda kugegedwa.
 
ratio za male to female zinazidi kuthibitisha kuwa males are few in relation to women,

watch out, soon or later utapewa unexpected pregnancy, mwanzo wa kuyumba kimaisha kama hujajipanga.
 
Back
Top Bottom