Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Usiwe rahisi kiasi hiki dada

Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.

Umeyataka mwenyewe, dada hana makosa. Kuwa serious na mahusiano, kwa tabia hiyo AIDS haiko mbali na wewe. Chagua mmoja mwaminifu au funga ndoa.
 
Kwa nini mtu asiwe straight hii inapunguza uanaume wake..
Amwambie tu ukweli ampe na sababu za msingi,
both huyu mwanaume na mwanamke wajinga tu.
Acha ushamba oa wewe kwani kumpenda kwako si ulizimika na flag yake!
sasa udhaifu gani uliouona kwake hadi unatuchania mistari bila beats!
Huo ni udhaifu wako inaonesha kakuzidi ma'shoot' ndo mana unatafuta kusepa kimya kimya!
Lakini usijali fanya hivi;~ aga safari ya muda mrefu akishafungasha virago vyake potezea kwa siku kadhaa na siku akirudi uwe unapanga kuondoka muda huohuo lazima atahisi umemchukia au una mwingine.
na sometimes akija weka alarm ya muda wa dk 5 na ikilia ,ikate na jifanye unapokea simu kwa huku ukitamka "mpenzi nakuja sasa hivi kuna mgeni ananichelewesha lakini usijali baada ya muda mfupi nitakuwepo hapo!" ukirudi dozi hiyo kwa mara nne kwa wiki na huyo demu bado anakuganda ujue siyo "mzima" ita/tuma watu wengine wakusaidie kumfukuza!
 
Last edited by a moderator:
Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
Hahahaaa!mwenyewe uliyataka,Siku ya kwanza tu umempeleka home!Hiyo inaonesha we mwenyewe ulimuona wife material,unalalamika nini sasa.
Kama uliona wa kupita kwa nini usingeenda nae nyumba ya kulala wenyeji?Lako hilo bro.
 
Msome Pendael24 hapa chini utaelewa...



Asante!




Achana naye!


Jawilat ni huyu mvulana mmoja tu..!
ooh kumbe ni mvulana,!!hapo gheto ni ya kaka yake kamuachia kaka kaenda field,sasa mvulana anawaza itakuwaje kaka akirudi!!
 
Last edited by a moderator:
Km yeye aliwahi kukupa na wewe ulimpa ya nini....woote mlikuwa na minyege mmepeana ngoma droo....Angekuzungusha ungesema so NYAMAZAAA





Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
 
huyo ndio ashakukubali kabisa huna haja ya kubembeleza kuoa....Malizia kabisa coz kakurahisishia...We ulikuwa unamfanya wa kupitaeehh...imekula kwako......Km mimi nang'ang'anaaa





Ukweli nilivutiwa na umbo lako ndio maana nikakutongoza.

Nikakupitisha mpaka nyumbani kwangu nikuonyeshe ninapoishi.

Nikakukaribisha mpaka ndani kubainisha ni kweli kwamba niko singo.

Sikushangaa sana uliponipa mzigo siku hiyohiyo ya kwanza.

Kinachonishangaza ni vile ulipoanza kuja mfululizo tena bila ya apointimenti na kuacha nguo zako moja baada ya nyingine.

Ona sasa ni wiki inakatika sasa hutaki kurudi kwenu yaani ukitoka job ni moja kwa moja kiguu na njia mpaka kwangu. Inamaana ndo ushajiozesha hivyo.

Aaah sista hata kama ndoa haifosiwi hivyo.
 
kweli wewe upo dunia ipi?
Mwanamke ukitongoza akakukubalia siku hiyo hiyo na akakupa papuchi siku hiyo hiyo sio kwamba ni mrahisi au nimalaya ispokuwa mlikutana wote mna migenye na demu akiangalia ana maugumu ya mwaka mzima alafu na wewe umejitokeza kwa nini asichangamkie fursa hahahaha
hooooo Mamaaaaa ! humepiga ikulu hapo
 
loh ebu mpende mwanamke mwenzio..unataka akagegedwe kwenye guest tena..anaonekana kabisa kuwa anaenda kugegedwa.
Kwani huko nyumbani anako pelekwa anaenda kuosha vyombo? Lol....



"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 
Kwani huko nyumbani anako pelekwa anaenda kuosha vyombo? Lol....



"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."

hahaha hapana but atleast sio kama unavyoingia guest pale basi inajulikana kabisa huyu anaenda gegedwa.
 
hahaha hapana but atleast sio kama unavyoingia guest pale basi inajulikana kabisa huyu anaenda gegedwa.

Mzabzab, na weye kwa visa all the same....,,,,


"The truth is hard to swallow when you're choking on your pride."
 
Back
Top Bottom