Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,106
- 173,889
Tatizo huweki sura halisi 😅 muweke sura halisi😅Uzoefu wangu nakumbuka niliwahi kukimbiwa stend😬😬
Tatizo huweki sura halisi 😅 muweke sura halisi😅Uzoefu wangu nakumbuka niliwahi kukimbiwa stend😬😬
Hapa ingependeza kama ungeiweka hivi; "wanaume wazinzi kila angle mnapigwa......."Wanaume kila angle mnapigwa.....
Maisha yanawapiga, wanawake tunawapiga, tabu iko pale pale.
Af wengi mnadanganya mmeolewa humu si muwe wazi tu 😅 kama naniliu!A wapiii bila bila 😬😬
Subiri ukue mkuuIla baadhi ya wanaume tuna roho ngumu sana. Hivi unaanzaje kutongoza mtu uliyemwona kwa kuvutiwa na picha tu mtandaoni?
Jukwaani huwezi kujua maisha halisi ya mtu labla mhusika andike ukweli binafsi nimeolewa Mwenzi 7 mwaka huu hii ni kweli na sina sababu za kuficha🥰Af wengi mnadanganya mmeolewa humu si muwe wazi tu 😅 kama naniliu!
Kwenye uzi wa Sefika uli like picha niliyo weka😬Sina ubaya wa kutisha wala uzuri wa sifa mkuuTatizo huweki sura halisi 😅 muweke sura halisi😅
Kifua kipi hali ya kuwa umeandika tayariKuna kituko kimoja nilishakutana nacho humu sema wanaume tumeumbiwa vifua 😅
Ndio ni mimi halisiMmefanana kweri kweri 😅😅😅
Safi sana ingependeza ungeiweka profile😅Ndio ni mimi halisi
Hahahahahah ni story tu we umewaza kitu gani?Kifua kipi hali ya kuwa umeandika tayari
Hii dharau sasa! 😬😬😬 Sisi wengine siyo malimbukeni wa mitandao, tunajitambua kwa hiyo sio suala la "udogo au ukubwa".Subiri ukue mkuu
😂😂😂😂😂Kuna kituko kimoja nilishakutana nacho humu sema wanaume tumeumbiwa vifua 😅
Video call za kazi gani sasa, ikukute bila make up.... hakuna kupokea, hakuna kutuma picha og lazma maflekechee yafanyike 😂😂😂 ubaya ubaya tuNina rafiki yangu wa zamani hata video call hapokei kama hajapaka make up. Muda wowote ikiingia video call anapiga puti ndo anapokea. Yule nae alikua na sura nzuri na umbo la kichaga ila kwenye picha ana shape mi simkuti
Bora utongoze demu anaekaa chamanzi ikiwa wewe unakaa mbagaraHao wengine huko wanapoishi hakuna mitaa?