Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 152,959
- 453,698
Dr alikuja
Dr alikuja
Hivi inakuaje una post video au picha ya snap ukijua sivyo ulivyo afu una relax...Ili uniite kituko??? Tukutane snap
Pole mamyNikarudi nyumbani kinyonge jamaa alinibrock mpaka sanduku la posta
Kwenye picha au live? Maana ukisema unione tu nakua sielewi unataka umuone Mzigua wa snapchat au Mzigua wa live maana hao ni watu wawili tofauti
Ndio ndioJukwaani huwezi kujua maisha halisi ya mtu labla mhusika andike ukweli binafsi nimeolewa Mwenzi 7 mwaka huu hii ni kweli na sina sababu za kuficha
Video call za kazi gani sasa, ikukute bila make up.... hakuna kupokea, hakuna kutuma picha og lazma maflekechee yafanyike ubaya ubaya tu
Ila EveIli uniite kituko??? Tukutane snap
Usitongoze mwanamke kwa kuangalia picha alizoweka kwenye mitandao; utajuta!
Wengi wamezipiga nyuso zao 'plasta' pamoja na 'kuziskimu' kabla ya kuziweka kwenye mitandao.
Hongera kwa shape nzurNina rafiki yangu wa zamani hata video call hapokei kama hajapaka make up. Muda wowote ikiingia video call anapiga puti ndo anapokea. Yule nae alikua na sura nzuri na umbo la kichaga ila kwenye picha ana shape mi simkuti
Sa sura ntaisubiri hadi lini ikae vizuri ili niipost?....tunajimix tu na wenye sura za kueleweka ila sisi tunapost tu hivo hivo kwa hisani ya filtersHivi inakuaje una post video au picha ya snap ukijua sivyo ulivyo afu una relax...
Si uache wanaojiamin sura zao wa post...
Alafu chakushangaza wanasema kiwa wanaume sie ni waongo wakati wao ndio waongo namba moja....tena uongo wao ni kwamba hawajikubali🤣🤣🤣🤣🤣🤣Usitongoze mwanamke kwa kuangalia picha alizoweka kwenye mitandao; utajuta!
Wengi wamezipiga nyuso zao 'plasta' pamoja na 'kuziskimu' kabla ya kuziweka kwenye mitandao.
😂😂😂Akifika geto mwambie anawe uso kwanza
Ili nikuoe usije kukosa wakuanaeIli?
😂😂😂 wewe huwa hupigi plasta?Umepatikana 😂😂😂😂😂
😂😂😂 wewe huwa hupigi plasta?
Eti jamaniIli akutumie na ya kutolea
KabisaSubiri ukue mkuu