Quartz360
Senior Member
- Mar 27, 2023
- 124
- 302
Nowadays kumekuwa na wimbi kubwa la watu (me+ke) kutafuta wachumba kwenye mitandao ya kijamii kama vile FB, IG, X, TG etc.
Mtu anaingia zake Photo Lab anafanya editing za kutosha, kuji-snap kwa kwenda mbele, then anatupia picha yake mtandaoni anaonekana mkali, then mwamba unaruka naye, unazani ni wife material kumbe wapi.
Mbaya zaidi Kuna wengine ni wanaume Wanajifanya kuweka picha za kike na captions za kuvutia ili raia waingie kwenye target. Kumbe wap, ni UTAPELI MTUPU.
Mtu anaingia zake Photo Lab anafanya editing za kutosha, kuji-snap kwa kwenda mbele, then anatupia picha yake mtandaoni anaonekana mkali, then mwamba unaruka naye, unazani ni wife material kumbe wapi.
Mbaya zaidi Kuna wengine ni wanaume Wanajifanya kuweka picha za kike na captions za kuvutia ili raia waingie kwenye target. Kumbe wap, ni UTAPELI MTUPU.