Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Vijana wa kiume nawaasa "usithubutu, neve ever kusomesha girlfriend eti kisa unatarajia utakuja kumuoa, acha basi wewe.

Wasichana wengi ni ma-drama queen,atakunyenyekea ili umsomeshe na anaweza akakubali kuolewa na wewe sio kwamba kakupenda ila tu anataka kulipa fadhila,

vurugu huwa inaanza akishapata kazi nzuri ya kumuwezesha kujitegemea utajuta.Jamaa zangu watatu sasa hivi wanajuta!Somesha mke na sio girlfriend.

Unataka chukua hutaki acha

Hii ni kweli kabisa na nina ushahidi,bora umsomeshe wakati umeshamuoa.
 
Kuna rafiki yangu yamemkuta!pia mimi nlikuwa na galfrd alikuwa anafanya kazi benki nlishawahi kumlipia ada ya mitihani ya bodi ya bankers,kilichofua ni historia!

Ukamuweka wazi kwa paparazi,...pole mkuu.
 
Hilo ni kosa Kubwa kusomesha mwanamke kwakutarajia utakuja kumuoa kwani wanawake wengi ni drama na asiyeamini afuatilie walio hoa kwa style hyo maana ndo nyingi zimevunjika
 
endeleeni kuwasomesha mkija kulialia tunawacheka ujinga
 
Me nasoma chuo flani nimepanga mtaani,nilipopanga tupo wanafunzi wengi tu,kuna dada mmoja anasomeshwa na jamaa mmoja ni mfanyakazi,huyo dada anovyogawa papuchi hovyo kama mama huruma!huwa namuhurumia sana jamaa akija kumtembelea natamani nimwambie tatizo sina mazoea nao!
 
nachukia sana mtu nayefanya kitu ili apewe rreturns hasa kama aaliamua kujitolea.

Hii haina tofauti na yule mtu anayesaidia watu kwa moyo mzuri lkn inner conscious inamwambia nategemea kupata fadhila kwa Mungu. Siku zote Mungu huwa hakupi baraka kwa vitu unavyovifanya kwa kujitolea huku nyuma ukiwa na hidden agenda.

Kama ulimwambia nataka nikuoe then take her first afu ndo umsomeshe ili ujue namsomesha mke, ila kama unamsomesha kwasabb unahofia atakuwa anakutia aibu kwasabb ya elimu yake ndogo na hasa unapotoka nae out of inferirity complex unaamua kumpeleka shule ili aweze kusocialize sawa ana wewe asikutie aibu then kubali matokeo akiwa mjanja ama mnasahau kwamba usimuamshe alolala??

kusomesha gf si jambo baya ila sio garantii ya kumuoa manake pia urafiki tu hauwez kujustfy destination wangapi wanakuwa marafiki wazuri lkn wanashindwa kuoana na kuishia kuachana?? sasa kwann wewe ada yako ya shule ikufanye uone kwamba ni ndoa tayari?

acha asomeshwe na wazaz wake ikiwa unataka mke msomi basi mwoe kisha mpeleke shule ukiona vipi katafute anayemeet qualities zako thats it

Makubaliano yana matter sana. Kama c kumuoa aombe kusomeshwa co analeta uongo.
 
Ha ha ha menikumbusha rafik yang kampa ad mimba kujihakikishia ulinzi.....dem kajifungua man akampeleka shule alivomaliza tuuu akaanza vtimbi....ha ha ha ha
 
Me nasoma chuo flani nimepanga mtaani,nilipopanga tupo wanafunzi wengi tu,kuna dada mmoja anasomeshwa na jamaa mmoja ni mfanyakazi,huyo dada anovyogawa papuchi hovyo kama mama huruma!huwa namuhurumia sana jamaa akija kumtembelea natamani nimwambie tatizo sina mazoea nao!

soma wewe acha umbeya kama me nenda na wewe ukamle hainaga makombo ati
 
angekuwa dada yako ungefurahi?

mnato wake,mtu mzima above 18 ,sasa kama kaamua kugawa nitamkataza?kila mtu ana uhuru wakuchagua maisha yake bana hebu nipm namba yake namie nikaoshe rungu yaelekia kifnyio chake kitamu hatari ndo maana wadau full kubanjua
 
mnato wake,mtu mzima above 18 ,sasa kama kaamua kugawa nitamkataza?kila mtu ana uhuru wakuchagua maisha yake bana hebu nipm namba yake namie nikaoshe rungu yaelekia kifnyio chake kitamu hatari ndo maana wadau full kubanjua

hahaha!usihofu mkuu
 
Naunga mkono hoja.
Oa kwanza ndio upeleke shule.

Sio usomeshe ili malipo yawe kukubali ndoa.
 
Naunga mkono hoja.
Oa kwanza ndio upeleke shule.

Sio usomeshe ili malipo yawe kukubali ndoa.

Hata matumizi pia tusitoe, maana ana wazazi. Tatizo twakosea mwanzoni kuonesha twawajari kwa kuwapa vihela, mtu akisema tu ana njaa afu kesho ana mtihani we unatuma hela, kesho yake sijalipa ada na nimekatazwa fanya mtihani unaona umlipie...... mwishoni ndo matatizoooo
 
mimi nina mdada yuko chuo. huja likizozote kwangu na kwao hunifahamu. tuna 4yrs ktk mapenzi. na tuna mpango wa kuja oana. ila nilisha mtangazia kuwa kila mtu asomeshwe kwao. sisi tukutane kimaisha.ila humpa poketi money kidogo. ila mapenzi yamepungua .anadai nimgalimie kila kitu.nimegoma kuwa sijamuoa. ata cm kapunguza.so ni darili mbaya. nangoja akija akija tu namjulisha mimi mapenzi siwezi.
 
Back
Top Bottom