Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
Aisee
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
Asemayo mtoa mada yana ukweli. Na siyo wanawake wote hawajui fadhira. Ww ni miongoni mwa wanawake wanajua nn wanachokifanya ila kuna wengine ni pasua kichwa.
Hongera na uwe na moyo huo huo.
 
Ukimsomesha demu subiri aje akusomeshe namba. Hiyo ni sawa kubet, tatu mzuka au biko
 
Yan kama ulishawahi kuskia mtu anasema nimejira ndio hiyo sasa ya kusomesha demu
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
Mkuu ingawa bet na kamari nyinginezo zinafirisi, lakini kuna watu pia wanapata.kwahiyo haishangazi wachache kama wewe kupatikana kwenye kundi kubwa. Hata hivyo kumsomesha mwanamke ni kamari mbaya
 
Dawa yao ni moja tu basi ukikosea hili ahah utachekwa ni kwamba unatakiwa umsomeshe na huku anakuzalia watoto akimaliza mwaka wa 3 awe amekuzalia watoto au 1.
Mkuu anaweza kukuzalia mtoto na bado akakuacha
 
Sijui umekerwa nanani ila kumbuka sio wote wana roho mbaya wasiojua fadhila,na unapo msomesha mtu ni sawa unatoa sadaka,usitegemee akulipe au afanye kazi akupe ila ni kheir umefanya mwenyezi mungu atakulipa,usiwache kufanya mema eti kisa atanikukimbia kama uwezo unao msaidie kama huna basi ila kusema usimsaidie sio sawa,hata akisaidia wazazi wake wewe hukosi kwa mwenyezi mungu..
 
Nilikua mzumbe jana aisee halafu nikaona warembo wanapita wameshika viuno na partners wao. Nikawaza tu pale kuna wanaosomeshwa na mabwana zao nikaishia kusikitika tu.
 
Unafanya hivi mwaka wa kwanza unalipa ada tyr na mimba juu mwaka wa pili unalipa ada mimba mwaka wa tatu unalipa ada mimba hata akikimbia najua ashachoka
 
Wanawake wanabadilikaga utamu kishenzi, atakuheshimu na kukupa coomer kama mpenzi wake miaka yote tu hata kama hakupendi ili tu umalize biashara ya kumlipia ada tu ukijua unapendwa kumbe....Mnawekeana ahadi za kuoana yani dah kumbe unafiki mtupu unafanyiwa.

Ile semister ya mwisho tu anaanza tafuta mtu anayempenda sasa miongoni mwa wale vijana walengaji wanaokujaga chuo jioni kutoka ofisi mbali mbali katikati ya mji wakiwa na whip za maana. Akimpata mmoja wakaelewana tu hapo ndio balaa linaanza kwako mpaka kufikia graduation unakuwa ushamwagwa rasmi *****.

Hapo ndio utapojua kilichomtoa kenge manyoya aisee hamna rangi utaacha ona ukiwaza mamilioni yako uliowekeza kwa mwanamke mliyepanga maisha *****. Bora ungechezea biko!
 
Back
Top Bottom