Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Mpwa ni kweli usemayo ila hana mdhamana hata kidogo mm jamaa wawili job wamewasomesha mbona mmoja nusura tumzike kazi yake ni kunywa sumu tu mara mbili kapona anabahati kua Israel mtoa roho hayupo pamoja nae mwingine kaenda kumtembelea alie msomesha akiwa kituo chake cha kazi maana aliajiriwa. Kakuta kidume kinahemea ndan alie mlipia na kusababisha apate kazi anagonga mlango kidume kinakohoa ndani khoo khoo jamaa nae nusura afe mawazo kibao gari likatafuta pori Mungu mkubwa kapona

Hahaha kweli mbunyee ni noma hapana chezea mbunyeee weka mbali na watoto
 
Jamaa yangu yameshamsibu hayo majanga!ye mwenyewe anabaingaiza vibiashara mjini hapa lakini demu wake anamsomesha chuo,mwisho demu kamaliza chuo akajichanganya zaidi alimpomsaidia kupata kazi katika idara nyeti sana serikalini.

Kilichompata msiniulize maana naweza kulia
 
Mimi ndiyo maana girl friend wangu baada ya kumlipia ada nilikuwa kila nikikutana naye lazima nikeshe naye na nilikuwa nikimpa siyo chini ya vitatu yaani mpaka tumeachana roho yangu kwatu yaani tumeachana kiroho safi na sasa ameolewa na nimemchangia mchango wa send off na mpaka kesho nikitaka mchezo ananipa kiroho safi
 
Jamaa yangu yameshamsibu hayo majanga!ye mwenyewe anabaingaiza vibiashara mjini hapa lakini demu wake anamsomesha chuo,mwisho demu kamaliza chuo akajichanganya zaidi alimpomsaidia kupata kazi katika idara nyeti sana serikalini.

Kilichompata msiniulize maana naweza kulia

Idara nyeti nyeti ipi? suti nyeusi au???
 
wajanja tunakuelewa mkuu

kweli kabisa Somesha mke na sio girlfriend!
 
Mimi ndiyo maana girl friend wangu baada ya kumlipia ada nilikuwa kila nikikutana naye lazima nikeshe naye na nilikuwa nikimpa siyo chini ya vitatu yaani mpaka tumeachana roho yangu kwatu yaani tumeachana kiroho safi na sasa ameolewa na nimemchangia mchango wa send off na mpaka kesho nikitaka mchezo ananipa kiroho safi

we unazuga hukuwa na makubaliano ya kumuoa bana
 
Mm wang atavaa ushung ndan hakuna kutoka awe anasubr kutafuna pesa zng tuuu
 
Nitakusomesha kama tu, nimekuoa au una mtoto wangu.
Hayo mengine tutasameheana
 
Tatizo la hao wanaosomesha wachumba/wapenzi hujisahau baada ya kutoa fadhila. Wanabweteka wakijua as long wamesomesha washamaliza kazi hawafanyi chochote cha ziada kuhakikisha penzi linadumu! Lakini pia wapenzi kuachana imekuwa kitu cha kawaida,hivyo akikuacha tambua kuwa sio kwasababu ashapata elimu bali hata usingemsomesha angeweza kukuacha
 
Ukiona mwanamke amegeuka makubaliano na wewe ujue alikuwa hakupendi ila anakutumia tu, au wewe unaweza badilika tabia nae akaamua kukuacha wewe ukawaza sababu ni elimu aliyoipata, siku hizi hata ndoa zinavunjika sasa ukimsomesha akiwa mke na akaondoka hutaumia? Upendo na uaminifu hufanya ndoa imara, si umegharamia kiasi gani kwa mwenzi wako ndio kutakupa ndoa yenye amani na mshikamano.
 
ukitaka mke msomi kajiandikishe masters mtakutana hukohuko darasani,
 
Hayo yamewakuta wengi. Nataka pia niongeze kwamba, usithubutu kununua vitu vya kudumu mfano gauni, viatu, nk. eti apendeze. Mpeleke hotelini, bar, na aina nyingine za vyakula na vinywaji. Hivi havina kumbukumbu, akishakwenda chooni ndo basi.
 
Lakini madame, msaada ni kama sadaka na Bible inasema tumchokoze Mungu kwa njia ya sadaka. Japo hii ya kusomeshana huku mnazini sio sadaka.

Tatizo wanakwepa kuoa kama wanaruka vihunzi. Huyu anaesema anasomesha anasimanga stu, manake kusomesha mtu sio kumpa hela ya viwalo na vocha. Kuna ada, stationeries, malazi, matibabu na chakula. Field allowances etc. I doubt kama wanamaanisha kusomesha manake vipato vyenyewe vya ngama.

Lakini still, kama mnashindwana kunakuwa na sababu. Kama ambao hawajasomeshana wanaachana, why do you expect kusomesha iwe ndio super glue?
nachukia sana mtu nayefanya kitu ili apewe rreturns hasa kama aaliamua kujitolea.

Hii haina tofauti na yule mtu anayesaidia watu kwa moyo mzuri lkn inner conscious inamwambia nategemea kupata fadhila kwa Mungu. Siku zote Mungu huwa hakupi baraka kwa vitu unavyovifanya kwa kujitolea huku nyuma ukiwa na hidden agenda.

Kama ulimwambia nataka nikuoe then take her first afu ndo umsomeshe ili ujue namsomesha mke, ila kama unamsomesha kwasabb unahofia atakuwa anakutia aibu kwasabb ya elimu yake ndogo na hasa unapotoka nae out of inferirity complex unaamua kumpeleka shule ili aweze kusocialize sawa ana wewe asikutie aibu then kubali matokeo akiwa mjanja ama mnasahau kwamba usimuamshe alolala??

kusomesha gf si jambo baya ila sio garantii ya kumuoa manake pia urafiki tu hauwez kujustfy destination wangapi wanakuwa marafiki wazuri lkn wanashindwa kuoana na kuishia kuachana?? sasa kwann wewe ada yako ya shule ikufanye uone kwamba ni ndoa tayari?

acha asomeshwe na wazaz wake ikiwa unataka mke msomi basi mwoe kisha mpeleke shule ukiona vipi katafute anayemeet qualities zako thats it
 
Back
Top Bottom