Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

Usithubutu kusomesha rafiki wa kike (Mpenzi)

mimi nina mdada yuko chuo. huja likizozote kwangu na kwao hunifahamu. tuna 4yrs ktk mapenzi. na tuna mpango wa kuja oana. ila nilisha mtangazia kuwa kila mtu asomeshwe kwao. sisi tukutane kimaisha.ila humpa poketi money kidogo. ila mapenzi yamepungua .anadai nimgalimie kila kitu.nimegoma kuwa sijamuoa. ata cm kapunguza.so ni darili mbaya. nangoja akija akija tu namjulisha mimi mapenzi siwezi.

Huna sababu ya kumsubiri hadi aje.
Hawa watu wamegeuka kuwa wafanyabiashara wanatumia mapenzi kutimiza vitu wanavyotaka fanya. Usipompa ananuna kama chatu au mbwa aliegongwa barabarani
 
Naamini hii inatokea kwa baadhi ya mabinti siyo wote..acha kugeneralize mambo!
 
mimi nina mdada yuko chuo. huja likizozote kwangu na kwao hunifahamu. tuna 4yrs ktk mapenzi. na tuna mpango wa kuja oana. ila nilisha mtangazia kuwa kila mtu asomeshwe kwao. sisi tukutane kimaisha.ila humpa poketi money kidogo. ila mapenzi yamepungua .anadai nimgalimie kila kitu.nimegoma kuwa sijamuoa. ata cm kapunguza.so ni darili mbaya. nangoja akija akija tu namjulisha mimi mapenzi siwezi.

Mkuu, mapenzi ambayo ni conditional huwa hayadumu! Yanadumu pale tu status quo inapokuwa maintained, iki-change tu mapenzi yanafikia mwisho wa reli!
 
Wacha ushamba wewe, for whatever a person does expects premium. Hakuna kitu binadamu anafanya ili mradi, katika mapenzi anafanya ili kudumisha uhusiano. Wangoni wanasema 'Malilo kulilana' ikiwa na maana kuwa msaidie anayekusaidia. Kama mtu unamsaidia halafu anasepa huo ni uhuni. Usemi wa kusema umemsaidia kama hakulipa fadhira hiyo ni juu yake huo ni unyonge ' faint heart never wins a fair lady'. Mwanaume usiyechukua tahadhari ni zobe. Ukiisha jua kuwa wanawake wako hivyo ya nini ujitose.
Lakini kwa upande mwingine wanawake kama amekupa papuch anaona amekupa kitu cha thamani. Kama uthubutu kumlipia ada baada ya kupata basi umeridhika unaka nini zaidi wakati umepata malipo hali kwa fedha halali uliyotoa.
Kutoa ni moyo usambe ni utajiri asiponisaidia mimi atalisaidia taifa nimefanya kwasababu ya love kama haja apreciate sio tatizo langu ni lake
 
Sio tu kusomesha mchumba.. hata mke anakutosa vizuri tu.. nina ushahidi wa mtu alompeleka mkwew uk akaolewa na mtu mwingine
 
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana


Kama kichwa kinavyosomeka hapo juu


ngoja ninyoke kwenye maada moja kwa moja
Hakuna kitu kibaya kama kusomesha mchumba usifanye kabisa hiki kitu ndugu yangu, acha kabisa utakuja kulia na kusaga meno

Bora usomeshe hata jiran yako lakin siyo mchumba utajuta mkuu usijaribu ni hatar zaid ya kumeza bomu

Watu wengi washasomesha wachumba wao na baada ya wachumba wao kupata kaz huwaacha kwa kejel na matus juu

Hakuna hata mmoja ambaye asha somesha mchumba na akabak salama, mwisho wa siku hujutia na kulia kama mbwa

Wengi wanaotendwa na wachumba waliowasomesha HUJIUA NA KUWA WALEVI WA KUTUPWA


usijaribu hicho kitu

Kusomesha mchumba ni sawa na kunyea kwenye fugo


NANYUPU

LIYANDA LA MWANZA

LONDON BABY
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
mtakuwa mmebaki 900 tu duniani..
 
Mbona sie tumesomeshwa na wanaume zetu hadi Leo miakana miaka tunaheshimu Kile tulichofanyiwa jamani maana mie alinikuta darasa la 7 akaniendeleza kwa QT badae nikienda college asaivi nimmnakazi na mwakani anampango wa kunipeleka zaidi.kielimu
Una miaka mingap
 
Dawa yao ni moja tu basi ukikosea hili ahah utachekwa ni kwamba unatakiwa umsomeshe na huku anakuzalia watoto akimaliza mwaka wa 3 awe amekuzalia watoto au 1.
 
Back
Top Bottom