Kutoa ni moyo usambe ni utajiri asiponisaidia mimi atalisaidia taifa nimefanya kwasababu ya love kama haja apreciate sio tatizo langu ni lake
nachukia sana mtu nayefanya kitu ili apewe rreturns hasa kama aaliamua kujitolea.
Hii haina tofauti na yule mtu anayesaidia watu kwa moyo mzuri lkn inner conscious inamwambia nategemea kupata fadhila kwa Mungu. Siku zote Mungu huwa hakupi baraka kwa vitu unavyovifanya kwa kujitolea huku nyuma ukiwa na hidden agenda.
Kama ulimwambia nataka nikuoe then take her first afu ndo umsomeshe ili ujue namsomesha mke, ila kama unamsomesha kwasabb unahofia atakuwa anakutia aibu kwasabb ya elimu yake ndogo na hasa unapotoka nae out of inferirity complex unaamua kumpeleka shule ili aweze kusocialize sawa ana wewe asikutie aibu then kubali matokeo akiwa mjanja ama mnasahau kwamba usimuamshe alolala??
kusomesha gf si jambo baya ila sio garantii ya kumuoa manake pia urafiki tu hauwez kujustfy destination wangapi wanakuwa marafiki wazuri lkn wanashindwa kuoana na kuishia kuachana?? sasa kwann wewe ada yako ya shule ikufanye uone kwamba ni ndoa tayari?
acha asomeshwe na wazaz wake ikiwa unataka mke msomi basi mwoe kisha mpeleke shule ukiona vipi katafute anayemeet qualities zako thats it
Kumsomesha mtoto wa kike/mpenzi wako ni sawa na kujenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara
Kumsomesha mtoto wa kike/mpenzi wako ni sawa na kujenga nyumba kwenye hifadhi ya barabara
nachukia sana mtu nayefanya kitu ili apewe rreturns hasa kama aaliamua kujitolea.
Hii haina tofauti na yule mtu anayesaidia watu kwa moyo mzuri lkn inner conscious inamwambia nategemea kupata fadhila kwa Mungu. Siku zote Mungu huwa hakupi baraka kwa vitu unavyovifanya kwa kujitolea huku nyuma ukiwa na hidden agenda.
Kama ulimwambia nataka nikuoe then take her first afu ndo umsomeshe ili ujue namsomesha mke, ila kama unamsomesha kwasabb unahofia atakuwa anakutia aibu kwasabb ya elimu yake ndogo na hasa unapotoka nae out of inferirity complex unaamua kumpeleka shule ili aweze kusocialize sawa ana wewe asikutie aibu then kubali matokeo akiwa mjanja ama mnasahau kwamba usimuamshe alolala??
kusomesha gf si jambo baya ila sio garantii ya kumuoa manake pia urafiki tu hauwez kujustfy destination wangapi wanakuwa marafiki wazuri lkn wanashindwa kuoana na kuishia kuachana?? sasa kwann wewe ada yako ya shule ikufanye uone kwamba ni ndoa tayari?
acha asomeshwe na wazaz wake ikiwa unataka mke msomi basi mwoe kisha mpeleke shule ukiona vipi katafute anayemeet qualities zako thats it
Kama una uwezo una msaidia kielimu sio kutegemea kuja kukulipa fadhila ya kumuoa wengi wakiona HVO lazima akutende tu pole sana mkuu haikua bahati yako.
Kama ni mchumba inakuwaje, umeshatoa posa na mahari, unasubiri ndoa, hapo inakuwaje
Mambo hayo bana
Investiment without return?hii haipo kwenye ulimwengu wa uchumi
Mtoa mada semister ijayo nisipolipiwa tuition fee utalipa wewe na thread yako
Mtoa mada semister ijayo nisipolipiwa tuition fee utalipa wewe na thread yako
Vijana wa kiume nawaasa "USITHUBUTU,NEVER EVER kusomesha girlfriend eti kisa unatarajia utakuja kumuoa,ACHA KABISA WEWE.
Wasichana wengi ni ma-drama queen,atakunyenyekea ili umsomeshe na anaweza akakubali kuolewa na wewe sio kwamba kakupenda ila tu anataka kulipa fadhila,vurugu huwa inaanza akishapata kazi nzuri ya kumuwezesha kujitegemea UTAJUTRAA!
Jamaa zangu watatu sasa hivi wanajuta!
Somesha mke na sio girlfriend!
Unataka chukua hutaki acha!
Investiment without return?hii haipo kwenye ulimwengu wa uchumi