Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Usithubutu kuoa mwanamke wa hivi

Inategemea, inaweza ikawa ivo na inaweza hisiwe hivo.
Swali langu ni kwamba yote mabaya alio yafanya baba yako na wewe utayafanya?
Na mke akukatae kwa makosa ya baba yako, utajisikiaje?

Mtoto anaweza kuona mzazi anayofanya sio mazuri na akiwa mkubwa hafanyi kama mzazi wake.

Mfano watoto wa baba mlevi wanakuwa na akili sana na kufanya mazuri sana. Na mtoto wa padri ama shehe akawa mvuta bangi ama malaya.
Inategemea na akili ya mtoto mwenyewe, na alivoielewa dunia.

Mtoto anaweza kucopy tabia ya jerani, shangazi,binamu, mama mkubwa mama na akaiacha ya mzazi wake.

Wamalaya wengi nilio wanona wametoka kwenye family njema. Ndio hapo sasa hata mie namaswali
 
Kwa mtazamo wa haraka huyu jamaa nadhani kazoea kusimamia harusi na kuhudhuria vikao vya KAMATI za harusi za wengine sasa akili yake imebaki kuogopa kuoa ndio anajaribu kushawishi wengine wawe wajinga waogope km yeye,hayo sio maneno ya kuthubutu kuandika mbele ya jamii yenye busara na hekima km hii.yeye km hajaachwa basi kaacha coz amejuaje hao wenye hizo tabia km nae c mmoja,wao?.
 
Kwaa upande wangu upo sahihi,ila umekosea kutaja makabila kila mtu angejiongeza tu uliposema ushirikina....ila upo sawa kabisaaa!!
 
nakubaliana nawe kwa namba 3 na 6. familia ambazo mke ana sauti kuliko mume daima mabinti wa hapo huwa wana kiburi kinachotokana na mama yao. Wanakuwa wanafikiri kuwa wana uwezo wa kuwafanya waume zao kama mama yao anavyomfanyia baba yao yaani ni nadharia na vitendo. Pia mwanamke mchawi ni sumu kwa maisha ya mwanaume. Waweza tolewa kafara au hata mtoto wako.
 
Sio kweli hii ni hekima ya kibinadamu,mke mwema mtu hupewa na Bwana.
 
Mkuu naona bado upo Analogia tena Primitive kabisa wenzio tumeshahamia Digital...Kaa na mawazo yako ya kiFaceBook.
 
ni kweli ila tabia zinatofautiana watu hawafanani kama unania ya kuoa sehem yoyote unaweza oa
 
Umevurugwa mkuu japo una point lakini umeshindwa ku present nina wasiwasi na elimu yako(uandishi wako hauna logic na hata hizo spelling ni za watu wa facebook) pili uwezo wako wa kufikiria-umeshutumu sana bila ushahidi wa kutosha au bila kuelezea mwisho kabisa...zaidi ya yote UMEPITWA NA WAKATI

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

There you are!
 
usipate shida bandugu.. wewe tengeneza tu wa kwako.. weka na software na application zote unazotaka kwa ajili ya matumizi yako.
 
Usioe binti aliyekulia familia ya single mother.
Usioe binti aliyekulia familia ya single mother na hana mahusiano mazuri na baba yake....huyu ni toxic!
Very true.my late brother used to tell me over and over again
 
Ndoa ni mpango wa Mungu, kwa akili za kibinadamu si rahisi kuchagua mke mwema. Mke mwema m2 hupewa na Bwana. Nyumba na mali ni vitu vinavyoweza kupatikana kwa akili za kibinadamu lakini mke mwema sio. Ikumbukwe kwamba mwenye mapenzi haoni japo macho anayo. Ikitokea ukampenda msichana sio rahisi kuanza kumchunguza. Cha msingi kwa wale ambao hawajaoa ni bora kutanguliza maombi ili Mungu wakweli muumba mbingu na dunia aweze kuwapatieni wake wema.
Kama kuna swali au kama sijaeleweka nawaombeni muulize kwani umri wangu na mambo ambayo nimeyaona kwa macho yangu ni mengi. Ninachoamini ni kwamba Muungano wa kindoa unaodumu ni ule ambao wanandoa wanakuwa tofauti; mmoja akiwa mpole mwingine anakuwa mkali sana, mmoja akiwa kiwembe - mwingine anakuwa mtulivu kwenye mambo hayo, n.k
 
Inategemea, inaweza ikawa ivo na inaweza hisiwe hivo.
Swali langu ni kwamba yote mabaya alio yafanya baba yako na wewe utayafanya?
Na mke akukatae kwa makosa ya baba yako, utajisikiaje?

Mtoto anaweza kuona mzazi anayofanya sio mazuri na akiwa mkubwa hafanyi kama mzazi wake.

Mfano watoto wa baba mlevi wanakuwa na akili sana na kufanya mazuri sana. Na mtoto wa padri ama shehe akawa mvuta bangi ama malaya.
Inategemea na akili ya mtoto mwenyewe, na alivoielewa dunia.

Mtoto anaweza kucopy tabia ya jerani, shangazi,binamu, mama mkubwa mama na akaiacha ya mzazi wake.

Wamalaya wengi nilio wanona wametoka kwenye family njema. Ndio hapo sasa hata mie namaswali

Kulewa haimaanishi kwamba anayelewa hana akili, kuna kazi ambazo bila kupata kileo haziendi vyema. Naamini unawafaham vyema madaktari waliosomea Urusi walivyo walevi lakini utendaji wao kazi ni mzuri sana. wapo pia ma-engineer ambao ni waevi lakini wanachapa kazi hamna mfano. Na pia wapo watu ambao hawakamati kilaji hatakidogo lakini asubuhi wanaamkia kwenye vijiwe vya kahawa, wakitoka hapo ni kurudi nyumbani kusubiri msosi ulioandaliwa na wake zao wanaojishughulisha na shughuli ndogondogo kama umama ntilie n.k
 
Back
Top Bottom