BUMIJA
JF-Expert Member
- Oct 19, 2011
- 5,818
- 11,001
Wamekufanyeje?Hawa ni matapeli sana ... Bayport na Platnum ..Mim najuta saiv
Wamekufanyeje?Hawa ni matapeli sana ... Bayport na Platnum ..Mim najuta saiv
Jamaa ipo siku watakosa wateja na kampuni zao zinakwenda kufa na kufilisika ..muda utaongea
Hivi Branch, Tala, Songesha na Nivushe Wana leseni?Wengine wanaofanana nao...Blue,Faidika,Finca,Pride . Nashangaa Walipewaje pewaje Leseni dhulumati hawa..!
Bi mkubwa wangu aliingiaga kwenye 18 zao mwaka 2008. Kama ww leo hii 2021 umeyakanyaga tena, basi sidhani kama kuna siku watakosa wateja kabisa.Jamaa ipo siku watakosa wateja na kampuni zao zinakwenda kufa na kufilisika ..muda utaongea
Hawa nao ni wa kuogopa kama ukoma !!Hivi Branch, Tala, Songesha na Nivushe Wana leseni?
Kakope kwa hao jamaa utaelewa tuMkuu hujaeleweka bado
tunawaita loan sharks ukiingia umekwisha walim wamewatajilisha sana hawaPlatnum Credit / Bayport /Easy Finance ni WAPIGAJI.
mkuu nchi hii mambugila wako wengi sana hawawezi kuisha watu wengi hawana exposeHeee...Kwani Wapo Ambao Hawajawastukia...hao mataperi Kitambo..!
Hawawezi kosa wateja mkuu nchini hapa misukule isiyojitambua ni mingi sana.Jamaa ipo siku watakosa wateja na kampuni zao zinakwenda kufa na kufilisika ..muda utaongea
Kwani tulikutuma ukakope? Pambana na hali yakoHawa ni matapeli sana ... Bayport na Platnum ..Mim najuta saiv
Shida ni utapeli au loan balance au makato?Ndugu wana jf hizi kampuni za kukopesha fedha zina usumbufu sana riba yao kubwa kudai loan balance wasumbufu, ukitaka kufuta deni hawakubali.
Ndugu wana jf nawashauri acheni kukopa kwa hawa majamaa ni matapeli sana kuwa makini
Sure for sure for 100% nakubalina na weweNdugu wana jf hizi kampuni za kukopesha fedha zina usumbufu sana riba yao kubwa kudai loan balance wasumbufu, ukitaka kufuta deni hawakubali.
Ndugu wana jf nawashauri acheni kukopa kwa hawa majamaa ni matapeli sana kuwa makini
Sana sana sana 👉👏Ndugu wana jf hizi kampuni za kukopesha fedha zina usumbufu sana riba yao kubwa kudai loan balance wasumbufu, ukitaka kufuta deni hawakubali.
Ndugu wana jf nawashauri acheni kukopa kwa hawa majamaa ni matapeli sana kuwa makini