devinyo1987
JF-Expert Member
- Mar 12, 2021
- 269
- 367
Ndugu wanaJF hizi kampuni za kukopesha fedha zina usumbufu sana riba yao kubwa kudai loan balance wasumbufu, ukitaka kufuta deni hawakubali.
Ndugu wanaJF nawashauri acheni kukopa kwa hawa majamaa ni matapeli sana kuwa makini
Ndugu wanaJF nawashauri acheni kukopa kwa hawa majamaa ni matapeli sana kuwa makini