Usithubutu hata kidogo kumnyima mwenzi wako tunda

Usithubutu hata kidogo kumnyima mwenzi wako tunda

ana

kwambia mara amechoka mara tumbo linamuuma au anajisikia uchovu umuhurumie apumzike
Duuh mwanaume mbaya sana huyo,yaani mchoyo wa nanihiiwakati wewe una kiu, eti amechoka mara tumbo linamuuma au anajisikia uchovu eti umuhurumie apumzike khaa,hata hivyo mamii jikaze iko siku ataacha na wewe utakula mbivu mamii,kwa sasa maji ya moto yanahusika.
 
Saa zingine muangalie na mnaowaoa, utakuta mwanaume amekaa na binti kwenye uchumba, kila siku binti ni vinyongo, kununa na kususa, lakini mtu anasema tabia tutafundishana, matokeo yake anaingia na vinyongo kwenye ndoa, ukimkosea jambo dogo tu linalorekebishika yeye hata hasemi, ananuna tu. Matokeo yake kitandani ukimgusa unapewa sijui kimirinda, mara kipepsi, sijui kiseveniapu...
Ila katika yote kuchepuka sio dawa, usijikute unazoa huko na maradhi..
Hakuna maradhi coz always mambo kwa sox.
 
Hahahahaa...kwamba unaachanisha upaja kwa nguvu au?...watu hamuishiwi masihara aisee.
Masiara wapi moja ya jukumu katika ndoa n kuhakikisha mwenzio hana nyege........! Sa mtu unatoka huko na nyege zako afu mtu anakuletea visababu vidogo vidogo eti mala utaskia cna mudi unategemea nn apo
 
Habari!...

Kuna wanaume au wanawake wengi wakigombana tu na wake au waume zao huwa wanatabia ya kunyimana tunda.

Unapomnyima mwenzi wako tunda unasababisha madhara yafuatayo;
1. Kutafuta mchepuko

2. Kuyumba kiuchumi ndani ya familia. Kwasababu mara nyingi atatumia kiasi cha pesa kwa ajili ya mchepuko badala ya familia.

3. Madhara ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo.

4. Ugomvi usioisha ndani ya familia. Hasa mmoja wenu anapokutana na mafundi wazuri wa nje ya ndoa.

Tafadhali wanajamvi unapogombana na mwenzi wako USISUSE KULA TUNDA.

"TUNDA NI TIBA MUHIMU SANA"
Hiyo namba mbili ni sahihi kabisa
 
Masiara wapi moja ya jukumu katika ndoa n kuhakikisha mwenzio hana nyege........! Sa mtu unatoka huko na nyege zako afu mtu anakuletea visababu vidogo vidogo eti mala utaskia cna mudi unategemea nn apo
Kazi njema mkuu...Fyatueni watoto muongezeke muijaze Tanzania na kuitiisha.
 
Hivi mtu kakuudhi hyo hamu itatoka wapi jmn,sanasana akikulazimisha utamtengea km bakuli la supu ajitaftie nyama mwenyewe,na hainogi pia
 
Hivi mtu kakuudhi hyo hamu itatoka wapi jmn,sanasana akikulazimisha utamtengea km bakuli la supu ajitaftie nyama mwenyewe,na hainogi pia
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Habari!...

Kuna wanaume au wanawake wengi wakigombana tu na wake au waume zao huwa wanatabia ya kunyimana tunda.

Unapomnyima mwenzi wako tunda unasababisha madhara yafuatayo;
1. Kutafuta mchepuko

2. Kuyumba kiuchumi ndani ya familia. Kwasababu mara nyingi atatumia kiasi cha pesa kwa ajili ya mchepuko badala ya familia.

3. Madhara ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo.

4. Ugomvi usioisha ndani ya familia. Hasa mmoja wenu anapokutana na mafundi wazuri wa nje ya ndoa.

Tafadhali wanajamvi unapogombana na mwenzi wako USISUSE KULA TUNDA.

"TUNDA NI TIBA MUHIMU SANA"
Ngoja nisome ili niendelee kupata uzoefu
 
Wenye ndoa ebu nijibuni tafadhali, hivi kama mke hayupo period, wala hana discomfort yoyote, akitaka kukunyima unyumba huwa wanatumia maneno gani???
Mara nyingi hutumia maneno ya mfano ulimnyima kumnunulia dera basi nae usiku anakwambia mi sikupi hadi uninunulie dera kwa kuwa umeshikika unataka tunda ndipo unachanganyikiwa ama tunda ama dera
 
Back
Top Bottom