b191
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 742
- 1,032
Habari!...
Kuna wanaume au wanawake wengi wakigombana tu na wake au waume zao huwa wanatabia ya kunyimana tunda.
Unapomnyima mwenzi wako tunda unasababisha madhara yafuatayo;
1. Kutafuta mchepuko
2. Kuyumba kiuchumi ndani ya familia. Kwasababu mara nyingi atatumia kiasi cha pesa kwa ajili ya mchepuko badala ya familia.
3. Madhara ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo.
4. Ugomvi usioisha ndani ya familia. Hasa mmoja wenu anapokutana na mafundi wazuri wa nje ya ndoa.
Tafadhali wanajamvi unapogombana na mwenzi wako USISUSE KULA TUNDA.
"TUNDA NI TIBA MUHIMU SANA"
Kuna wanaume au wanawake wengi wakigombana tu na wake au waume zao huwa wanatabia ya kunyimana tunda.
Unapomnyima mwenzi wako tunda unasababisha madhara yafuatayo;
1. Kutafuta mchepuko
2. Kuyumba kiuchumi ndani ya familia. Kwasababu mara nyingi atatumia kiasi cha pesa kwa ajili ya mchepuko badala ya familia.
3. Madhara ya kisaikolojia kama msongo wa mawazo.
4. Ugomvi usioisha ndani ya familia. Hasa mmoja wenu anapokutana na mafundi wazuri wa nje ya ndoa.
Tafadhali wanajamvi unapogombana na mwenzi wako USISUSE KULA TUNDA.
"TUNDA NI TIBA MUHIMU SANA"