Usiseme nitampenda Kesho

Usiseme nitampenda Kesho

Mengine magumu kusamehe aisee..... Water.jpg
 
asante mke mwenza kuwa ushauri huu nitaufanyia kazi be blessed mamito
Mtu asiyependa suluhu we muombee tu...usilazimishe kuwa nae karibu wakati ana chuki bado atazidi kukuchukia...kaa nae mbali kabisa na kama inawezekana usiwe unaonana nae kabisa ila ikitokea umeonana nae we jishushe tu msalimie asipojibu usimaindi wala nini...ipo siku atajirudi mwenyewe
 
Qsm waweza msaidia kwa kumwambie ajaribu kuangalia wapi anakosea na hata kama anahisi yuko sahihi ajaribu kujishusha na kuomba msamaha, msamaha na kujishusha huepusha mengi ambayo yanaweza tokea endapo msamaha hautatokea.
Hata kama anahisi haheshimiwi aombe msamaha na waongee waweke mambo yao sawa
Nashukuru nitajitahidi kwa kurudia tena kwani nilishamweleza toka awali
 
Last edited by a moderator:
Mweh mweh Miss Kim vibaya hivyoo...

Seriously! I'ld rather watch them burn to death than have them live one more day....kuna mijitu inatufundisha kuwa na roho za kinyama eti, mtu hata umpende vipi hapendeki, umejitahidi kumsamehe ila they take you for a ride & toy around with your emotions, si bora wafie mbali tu,khaaaa! Some things are easier said than done, wengine tuna roho ndogo sana jamani!
 
Pole sana kwa kumpoteza kaka. Pia asante kwa ushauri
 
Seriously! I'ld rather watch them burn to death than have them live one more day....kuna mijitu inatufundisha kuwa na roho za kinyama eti, mtu hata umpende vipi hapendeki, umejitahidi kumsamehe ila they take you for a ride & toy around with your emotions, si bora wafie mbali tu,khaaaa! Some things are easier said than done, wengine tuna roho ndogo sana jamani!

Ila umesema kweli Miss Kim....msamaha ni rahisi kuuongelea lakini kutenda ni ngumu sana na ndio maana hata neno linasisitiza msamaha coz si kitu rahisi
 
Last edited by a moderator:
ananiboa mke mwenza maana kila dakiki @ntuzu @ntuzu @ntuzu ntuzuuuuu haaa
kwani hakuna watu wengine wa kuwataja taja si basi anitaje na mie nifurahi bestito
Mbona nawe umemtaja hapo tena unamuita? Ngoja aje sasa msameheane ili mrudiane!
 
wala roho hainiumi kwa ajili yake kwani ninaye Tized anayenijali kuzidi yeye simhuhitaji kivile na hawezi kunimudu mie hivyo hainisumbui akili hiyo ila kinachoniboa kwako ni kutaja taja huyo nduguyo utadhani hakuwa weingine wakuwataja hapa unaniboa
Hahahahaaaaaa, we nawe kiroho kinakuuma tu kwa sababu Ntuzu alikuacha akajiopolea mrembo Khantwe na maisha yao yanaenda safi!
 
Last edited by a moderator:
sina shida naye ninaye wangu anayenijali kuzidi yeye hivyo aendelee kimpango wake
na wala simshobokei kwani hana jipya nduguyo ana mambo kale utafikiri tuko kahama hapa
yaani wewe na yeye mko jiko moja, wewe mchana kweupe unavaa raba na pekosi,
halafu umeshikilia redio mkulima na eyephone kubwaa za kurekodia studio
wewe wazivaa mchana kweupe, kama si ushamba ninini? hamna jipya nyie
au naongopa my cousin Mr Rocky ?

Mbona nawe umemtaja hapo tena unamuita? Ngoja aje sasa msameheane ili mrudiane!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom