Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
- Thread starter
- #141
Last edited by a moderator:
sina shida naye ninaye wangu anayenijali kuzidi yeye hivyo aendelee kimpango wake
na wala simshobokei kwani hana jipya nduguyo ana mambo kale utafikiri tuko kahama hapa
yaani wewe na yeye mko jiko moja, wewe mchana kweupe unavaa raba na pekosi,
halafu umeshikilia redio mkulima na eyephone kubwaa za kurekodia studio
wewe wazivaa mchana kweupe, kama si ushamba ninini? hamna jipya nyie
au naongopa my cousin Mr Rocky ?
My swty ladyfurahia nmekumiss sn ujue? Ebu njoo kwa pm nikupe ile hati ya Moyo wangu!
Unajua nakupenda sn mpnz?
My swty ladyfurahia nmekumiss sn ujue? Ebu njoo kwa pm nikupe ile hati ya Moyo wangu!
Unajua nakupenda sn mpnz?
Bhageshi Huyu ladyfurahia nampenda sn ujue! Tatizo lake yeye hakuamini ata kidogo maana anahisi unaweza kunipereka kwenye michepuko kwa ICHANA Au Kasinde Au miss chagga
i love Mokoyo soo much moyo wangu upo kwake sijui ntakubeba wewe kwenye kikapu au vipKasinde ICHANA miss chagga Honey Faith mwallu Wote hawa wangu! Ah ah! Nimekosea mwallu na Honey Faith ni dada zangu! Tatizo na wewe Mpnz wangu ICHANA mzuri sn mpk unanichanganya akili mpk nawakumba na dada ZANGU!
Cc: Mokoyo
ICHANA luv u
kumbe wewe ndo mke wa ndoa....hongera inaonekana jamaa ana mbegu bora michepuko miiingi
wera wera kizuri wale na wengi besisto
hivi ulikuwa hujui kuwa mm ndo mkewe wa ndoa hao wengine ni
wapambe wa nje tu wanajikaanga kisha wanajichemsha
mpaka wanatokota kuiva hawaivi wanabaki makapi tu bestito
hahahahahahhaaaaaaaaaaaa watajijuuu ndo nshampendwa mie
na Ntuzu waache walie kimpango wao kwiwkiwiiiiiiiii
Hahahahaaaaaa, usinifurahishe mie! Mtu mwenyewe bado unavaa viatu vya Roso, gauni la redimedi ukiwa umefunga na mkanda wa kipepeo kiunoni! Ushamba mwingi nywele umeseti kwa kuzichoma na kipande cha chungu kilichopashwa joto!
Ukijipakaa lipstick/shine na Joti ana unafuuu! Pole dada, make bado upo zama za mwaka 47! Ama kweli ndo maana jamaa alikuacha, hongera zake Tized walau amekusitiri!
ueanza tabia yako ya kuwa kama kitenesi... Khantwe njooo hapa uone mwenzio anafanya nini?Kasinde ICHANA miss chagga Honey Faith mwallu Wote hawa wangu! Ah ah! Nimekosea mwallu na Honey Faith ni dada zangu! Tatizo na wewe Mpnz wangu ICHANA mzuri sn mpk unanichanganya akili mpk nawakumba na dada ZANGU!
Cc: Mokoyo