Usipokee simu iwapo katika charge

Usipokee simu iwapo katika charge

Offline User

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
3,828
Reaction score
2,395
Salim Kikeke
WAPENZI SAMBAZENI UJUMBE HUU.
Kwa mara nyengine tena kijana wa India-
Mumbai Amefariki dunia Leo asubuhi,
alipokua akipokea simu aina ya Android
ilipokua kaika Charge. alipopokea Madaktari
wanasema alihisi mtetemo katika Moyo wake
na mkonononi akarushwa na umeme
(akaungua)
-Tafadhali usipokee Simu pindi iwapo katika
Charge
-Tafadhali usijibu Simu pindi iwapo katika
Charge
Kwa Sababu Miale ya Simu inaguvu mara
1000 zaidi ya
ufikiliavyo...
USIPOKEE SIMU IWAPO KATIKA CHARGE
Tafadhali #Share kwa Marafiki waone Ujumbe
huu.
 
Nasikia hata unapokua bafuni unaoga si vizuri kupokea simu. sijui ni kwa nini
 
Ukiona mpenzi/mumeo/mkeo anapokea simu akiwa bafuni! Mulika mwizii,jiamini tukuamini
 
hiyo simu wanayoongelea ni feki ndiyo maana hawataji ni aina gani ya simu. kuna simu inaitwa android? Ingekuwa hivyo watu wengi wangekwisha kufa
 
hiyo simu wanayoongelea ni feki ndiyo maana hawataji ni aina gani ya simu. kuna simu inaitwa android? Ingekuwa hivyo watu wengi wangekwisha kufa
Acha ujinga wa kihaya wa kuongea mbele za watu usichokijua. android sio aina ya simu bali ni operating system
 
Hiyo simu labda ni zile zinatengenezwa kusikojulikana na hazina hata majina
Huo ujumbe ni scam tu kutisha watu
ati Salum kikeke
 
Anywei, mwenye kusikia na kusikia na asiyetaka aache... Hakuna haja ya matusi
 
Simu za Mchina Labda....

Habari yenyewe haina source ya kueleweka.. blah blah nyingi
 
Uwongo mtupu, kwanza umeme wa charger (output) hauna uwezo wa kukudhuru, pili kama alifariki mmejuaje alihisi nini?
MYTH BUSTED!!
 
Salim Kikeke
WAPENZI SAMBAZENI UJUMBE HUU.
Kwa mara nyengine tena kijana wa India-
Mumbai Amefariki dunia Leo asubuhi,
alipokua akipokea simu aina ya Android
ilipokua kaika Charge. alipopokea Madaktari
wanasema alihisi mtetemo katika Moyo wake
na mkonononi akarushwa na umeme
(akaungua)
-Tafadhali usipokee Simu pindi iwapo katika
Charge
-Tafadhali usijibu Simu pindi iwapo katika
Charge
Kwa Sababu Miale ya Simu inaguvu mara
1000 zaidi ya
ufikiliavyo...
USIPOKEE SIMU IWAPO KATIKA CHARGE
Tafadhali #Share kwa Marafiki waone Ujumbe
huu.
Tuna safari ndefu..
 
Mimi hupokea simu ukiwa kwenye charge tena naongea mpaka masaa 2,na sijahisi chochote.huyo jamaa anaugonjwa wa moyo na akapata habari mbaya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom