Usipohonga yakikukuta usilalamike

Tungekuwa dhaifu mngetutegemea? tungekuwa dhaifu ungezaliwa wew? ungehudumiwa hadi ulifikia kujitegemea? wew ni aina ya wanaume mnaoendekeza mfumo dume. jiangaliee

Haya kalale basi, punguza kelele

Hiyo ni Theory of Natural selection...Survival of the fittest... Only the strong survive--Charles Darwin
 
Hii feminism hii.ipo siku watapitisha sheria/azimio wanawake tu ndo wagombee uongozi.
all in all hamtaweza kutupa mimba tubebe tu.
 
who r u 2 judge? r u dat much perfect...! Mpuuzi atafanyaje kazi ikaonekana ukapata la kutizama??? Ukitaka kumjua zisiyemtosha sikiliza kauli zake.

Anybody quoted you young lady????
 

Fedha ni kama kisu, huokoa au kuua.
Penye upendo mtajadiliana
^^
 
Na mimi Nina experience Katika ndoa pia, but ipo na muonekano tofauti kabisa na wa huyo bibie. Can I share with you??? Utaukubali na kuupa support kama huu wa bibie???
Kama una mashiko, y not? Cna tatizo na UKWELI wa aina yoyote ile. Nnacho kataa ni unafiki wa kutuambia tofauti na yale yanayooneka ktk familia mbalimbal znazotuzunguka.
 

Mungu hajaumba mwanamke na mwanaume ili waoane bali mwanaume ndio anayeoa sio kuoana.
 
umesoma title ya hii thread na content yake???
unafaham maana halisi na sehem linalotumika neno "kuhonga"

Title imekaa kihivyo hivyo ila ndani kuna ujumbe mzito sana kwa sisi vijana wa sasa wa Kiafrikaa
 


Nenda kajifunze kwanza kuandika kwa PARAGRAPH ndio uje ulete hizo porojo zako hapa...1

Mtu hata kuandika kwa ufasaha hujui alafu unakurupuka tuu Unatokwa povu utafkiri unaumwa degedege!

Ivi unajua maana ya ndoa ww? wazazi wako wako kwenye ndoa? we unafkiri ndoa ni gharama za kuilea familia tu,si ndio?umesahau zile moment ambazo mwanamke anafikia anahitaji mwanaume aliemkubali na kumzoea kwa ajili ya kumliwaza?

Your thread contains full of Shit,PUMBAAAAAF.....!
 

mKUU MPE MAKAVU YAKE SHENZI SANA HUYU.....
 
Kusema kweli kitamaduni zetu na waarabu, familia ni jukumu la baba...kichwa cha nyumba ni baba kwa hiyo mizigo ya family ni yake. Mke ni msaidizi na anabaki kuwa hivyo, na maana ya msaidizi inaeleweka. Tumerithi tamaduni za wengine, hili Nalo tumerithi, elimu na fursa zinatolewa kwa wote regardless ni jinsia gani. Hivyo ndivyo wenzetu wa magharibi waivyoishi then, basi tunakppi taratibu na tunataka kuishi kama wao.

Kwa sababu fursa ni sawa, maisha yamezidi kuwa magumu, wote tuna vipato tena uwezekano wa mke kuwa na pato kubwa ni mkubwa siku hizi, basi hakuna ubaya kusaidiana...! Mtoa mada Ina point lakini angalia karne gani tunaishi, angalia fursa zilizopo, angalia uwezo wa mwenza na ugumu wa maisha. Kama unafikiri japo 50% ya ubongo Wako utaona hizo fikra za jinsi wazee wetu walivyoishi hazina nafasi tena. Hata hao mama zetu walifanya kazi Sana, wsliitwa housewives Tu vile hawakuajiriwa lakini they worked so hard to put their families together...!
 
Mtoa mada atakuwa mtoto wa nje ya ndoa.....
 
Mungu aliona mbali hawa viumbe kuwatoa ubavuni...na sio kichwani...

Kabisa mkuu yaan wanachoshindwa kuelewa n kwamba swala la mwanaume kuwa kichwa sio utamaduni tu bali n maagizo ya MUNGU no matter unapesa au hauna....
 
Tungekuwa dhaifu mngetutegemea? tungekuwa dhaifu ungezaliwa wew? ungehudumiwa hadi ulifikia kujitegemea? wew ni aina ya wanaume mnaoendekeza mfumo dume. jiangaliee

Haya kalale basi, punguza kelele

Kuzaa hata mbuzi anazaa na pia analea na bado akili hana. Hahahahahah cna maana hyo ya sheikh khalifa
 
Kama wewe ni mtoto wa kiume basi sio riziki kabisaa

Ficha upumbavu wako upate maarifa...
Hivi jamii za makabila ya kaskazini mtu ana wake watatu wote anawapa mashamba na mifugo ili walime na wamletee chakula..jamii nyingi za kiafrica mwanamke ndo analima kwa ajili ya chakula na watoto wa kiume wanachunga,unataka kuniambia nao ni sio riziki according to ure stupidity post...
Mara nyingi wanaume ni kudumisha ulinzi na management ya hiyo familia na jamii kwa ujumla
Huu ni mjadala utajifunza mengi.
 
peleka ujinga wako huko, uwe mwanaume tegemezi alafu uchekewe tu, wanaume wote tegemezi hii mada imewanyima usingizi. tumien nguvu kutafuta pesa na kuhudumia familia, sio kutumia nguvu kuja kubishana na ke hapa.

Sasa dada mbona tena unanitukana...nimekukosea nini kwa mfano mpaka uniite mjinga..???..kwanini tusibishane kwa hoja.....mpaka utukane....??.....USTAARABU NI KITU CHA BURE....
 

Mkuu suala la mwanaume kumuongoza mwanamke hayo ni maagizo ya MUNGU na lipo automatically ndani nafsi zao...ndio maana mwanamke akiwa na mwanaume haijalishi huyo mwanaume ni wa aina gani huwa anajiona yuko salama kuliko akiwa hata wanawake wenzie hamsini.....sisi tuliowahi kuishi vijijini utakuta kundi la wanawake wanataka kwenda mahali hasa nyakati za usiku, ili kujihakikishia usalama wao lazima wamchukue mtoto wa kiume hata wa miaka mitano waongozane nae...hapo ndio wanajiamini.......sasa ukifikiria mtoto wa miaka mitano atawasaidia nini ?.....
Mwanamke mwenye mali ambaye hajaolewa anakuwa na msongo wa mawazo kuliko mwanaume masikini ambaye hajaoa.....ndio maana mwanaume kaumbwa na kifua kipana kuliko mwanamke...na wanawake wanapenda kulalia vifuani mwa waume zao kwa kuwa wanajihisi ndio wapo salama zaidi.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…