Usipohonga yakikukuta usilalamike

Usipohonga yakikukuta usilalamike

Ukisoma hii thread mtoa mada ni mhusika kwenye haya.
1. Kazaliwa masikini.
2. Ameishi maisha ya kimasikini
3. Ni masikini.
4. Ni malaya.
5. Hajielewi.
6. Hatakuja olewa
 
Hahahaa hapana rafiki siwezi kukutusi, nisamehe mimi

Nimekusamehe swahiba wangu....pia ningependa kutumia nafasi hii adimu kukutakia heri ya xmass na mwaka mpya...mungu akulinde uweze kuuona mwaka salama.......
 
Ukisoma hii thread mtoa mada ni mhusika kwenye haya.
1. Kazaliwa masikini.
2. Ameishi maisha ya kimasikini
3. Ni masikini.
4. Ni malaya.
5. Hajielewi.
6. Hatakuja olewa

Manabii wa kizazi kipya bwana, hata utabiri mdogo tuu unawashnda. Try again, Sir!
 
Wengi hapa hamjaolewa nimegundua.ndoa si kama mnavyodhani.mengi aliachana na mkewe je unafikiri shida ilikuwa ni pesa?
 
Hahahaa niko very calm kwa wanaonijua wangekusaidia kukujuza, desperate na nini kaka yangu??? Bado sijafika mda wa kuwa desperate na haitokuja kutokea, Binadamu mnajitahidi sana kujipa stress,I only scratch where it itches the rest Mungu ndio anajua, mnavyoongea utadhani bila ndoa maisha ndio basi
Hio mentality ndio inawafanya wanawake wawe desperate

Mentality hiyo hatujaidevelop sisi wanaume bali ni mpango wa mungu coz wengi tumezaliwa na kukulia kwenye familia za kidini ingawa sasa wengi wetu tumekengeuka na kuwa atheist bila kujijua wengi tumekuwa liberal.
Sasa Mara nyingi unafanya maamuz kama hayo ya kusema ndoa sio lazima wakati jamii inayokuzunguka inasema lazima.......
Kama we ni dhaifu you have no room in this conservative society.... Only strong survive.
 
Nimekusamehe swahiba wangu....pia ningependa kutumia nafasi hii adimu kukutakia heri ya xmass na mwaka mpya...mungu akulinde uweze kuuona mwaka salama.......

Asante nikutakie kila la kheri mwaka 2015 ukawe wa baraka na Mungu akutimizie kila haja ya moyo wako
 
Mentality hiyo hatujaidevelop sisi wanaume bali ni mpango wa mungu coz wengi tumezaliwa na kukulia kwenye familia za kidini ingawa sasa wengi wetu tumekengeuka na kuwa atheist bila kujijua wengi tumekuwa liberal.
Sasa Mara nyingi unafanya maamuz kama hayo ya kusema ndoa sio lazima wakati jamii inayokuzunguka inasema lazima.......
Kama we ni dhaifu you have no room in this conservative society.... Only strong survive.

Bahati mbaya it doesn't matter how the society think about me, too bad huwa napenda mtu aamini atakavyo kama unaamini am weak well and good its your opinion
 
Hahahaa Hahahaa asante umemaliza jioni yangu vizuri

Ni shiiidah my, usiku huu nimepanda noah na mkaka mmoja mtanashati sana, kituo nilichoteremka mim na yey akateremka, kumbe alikuwa anasubiriwa na binti, kitendo cha kutelemka tu dereva anataka buku yake yule jamaa kwa aibu kamwambia binti "mpe buku dereva" kha! binti akamshangaa "akamuuliza wew umekujaje ugenin bila nauli usiku huu" kwa vile mi nilikuwa nasubir chenji , bint akaniambia dada naomba dereva akate na elfu moja ya huyu nitakurudishi , nikamwambia sawa. wakati tunatembea kuelekea tuishipo jamaa kabaki nyuma mita mia 300, binti wawatu anamwita tembea basi we mgen alafu unabaki nyuma, jamaa anajibu nakuja kwa aibu sana. kwa kumaliza nikamwambia bint "hiyo buku nirushia vocha" huku moyoni nasema siwez kumlipia nauli jitu kupe linalomnyonya hadi mwanafunzi. maana bint ni mwanafunzi wa chuo anategemea boom bado kupe nae anang'ang'ana hapo hapo.

samahani utakae kwazika, we pita mbali tu.
 
Ni shiiidah my, usiku huu nimepanda noah na mkaka mmoja mtanashati sana, kituo nilichoteremka mim na yey akateremka, kumbe alikuwa anasubiriwa na binti, kitendo cha kutelemka tu dereva anataka buku yake yule jamaa kwa aibu kamwambia binti "mpe buku dereva" kha! binti akamshangaa "akamuuliza wew umekujaje ugenin bila nauli usiku huu" kwa vile mi nilikuwa nasubir chenji , bint akaniambia dada naomba dereva akate na elfu moja ya huyu nitakurudishi , nikamwambia sawa. wakati tunatembea kuelekea tuishipo jamaa kabaki nyuma mita mia 300, binti wawatu anamwita tembea basi we mgen alafu unabaki nyuma, jamaa anajibu nakuja kwa aibu sana. kwa kumaliza nikamwambia bint "hiyo buku nirushia vocha" huku moyoni nasema siwez kumlipia nauli jitu kupe linalomnyonya hadi mwanafunzi. maana bint ni mwanafunzi wa chuo anategemea boom bado kupe nae anang'ang'ana hapo hapo.

samahani utakae kwazika, we pita mbali tu.

Yani hapa watapita na walengwa utaona wameguswa wanaanza kupata tremor kama wanaepilepsy, hadi nauli nikulipie sasa si bora niwe mwenyewe, hayo mahaba nipige teke la tumbo mie nimo tu ndio siyawezi na ningekua huyo Dada ningejilipia mwenyewe tu,ana utani huyo njemba
 
Yani hapa watapita na walengwa utaona wameguswa wanaanza kupata tremor kama wanaepilepsy, hadi nauli nikulipie sasa si bora niwe mwenyewe, hayo mahaba nipige teke la tumbo mie nimo tu ndio siyawezi na ningekua huyo Dada ningejilipia mwenyewe tu,ana utani huyo njemba
Mmmmh brenda18 hata nauli ya buku ni nongwa jamani? What if the guy does more than that? Come to think of it broadly dada, katika mahusiano watu hawahesabu kiasi gani nampa mwenzangu coz eventually you will support each other. Anyways, kila mtu ana sababu za kuwa katika mahusiano, siku hizi huwa watu wanaingia kwa 'sababu', its not coz of nature anymore..sad!!
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh brenda18 hata nauli ya buku ni nongwa jamani? What if the guy does more than that? Come to think of it broadly dada, katika mahusiano watu hawahesabu kiasi gani nampa mwenzangu coz eventually you will support each other. Anyways, kila mtu ana sababu za kuwa katika mahusiano, siku hizi huwa watu wanaingia kwa 'sababu', its not coz of nature anymore..sad!!

My brother kuna wanaume wa ajabu sana,pole kama some of the comments zina wageneralize wote ila kuna wakaka wa mjini ni hatarii inabidi uishi nao kwa akili, mtu hujui mshahara wake from January to December,a very smart guy na kazi nzuri tu, mtaenda sehemu after lunch mara kasahau wallet kwenye gari okei sio mbaya,utapigiwa usiku bebs luku imeisha na sina kitu apa airtelmoney yako inakitu nirushie kdg na mambo kibao nikieleza hapa simalizi
Mtu kama huyu angenioa am sure leo ningekuwa ninakilio, huo utegezi inakuaje mwanaume unapanda bila nauli na akijua mwenzie ni mwanafunzi angalau angemwambia kabla hawajapanda ili dada wa watu ajue, kiukweli binafsi nisingemlipia angejua cha kufanya, utakuta alikuwa na hela basi tu alitaka alipiwe
 
Last edited by a moderator:
Bora mie I pay all the bills, sipendi mwanamke alipe chochote kwa ajili yangu
 
My brother kuna wanaume wa ajabu sana,pole kama some of the comments zina wageneralize wote ila kuna wakaka wa mjini ni hatarii inabidi uishi nao kwa akili, mtu hujui mshahara wake from January to December,a very smart guy na kazi nzuri tu, mtaenda sehemu after lunch mara kasahau wallet kwenye gari
Brenda, kosa la nani hapo? It's your fault unadate na mtu wa hivyo. Mwanaume anayejielewa hawezi ku initiate mtoko unless ana pesa mfukoni. Labda nikuulize, ni kitu gani unaangalia kwa kidume pindi anarusha nyavu kwako?
okei sio mbaya,utapigiwa usiku bebs luku imeisha na sina kitu apa airtelmoney yako inakitu nirushie kdg na mambo kibao nikieleza hapa simalizi
Again, its simple like ABCD..kama huna kwa nini usimwambie? Kama unayo unampa tu... Lakini pia uko na mahusiano na mtu ambaye unadhani mna future, ukihisi yeye kila siku ni kuomba hela kwako kwa nini usimuulize kuhusu matumizi ya pesa yake ili ujue kwa nini anakuwa mzito kutumia kipato chake na wewe?
Mtu kama huyu angenioa am sure leo ningekuwa ninakilio, huo utegezi inakuaje mwanaume unapanda bila nauli na akijua mwenzie ni mwanafunzi angalau angemwambia kabla hawajapanda ili dada wa watu ajue, kiukweli binafsi nisingemlipia angejua cha kufanya, utakuta alikuwa na hela basi tu alitaka alipiwe
Huwezi kujua, perhaps the guy's going through rough times. Tatizo ninyi mnalaumu kirahisi sana...! Kama unamjali mwenzako utamsapoti kwa vitu vidogo vidogo na wala hutajali, kama upo kulimganisha nani zaidi...utaishi maisha ya kujilaimu kila siku. Life's all about sharing & supporting each other dada.
 
My brother kuna wanaume wa ajabu sana,pole kama some of the comments zina wageneralize wote ila kuna wakaka wa mjini ni hatarii inabidi uishi nao kwa akili, mtu hujui mshahara wake from January to December,a very smart guy na kazi nzuri tu, mtaenda sehemu after lunch mara kasahau wallet kwenye gari okei sio mbaya,utapigiwa usiku bebs luku imeisha na sina kitu apa airtelmoney yako inakitu nirushie kdg na mambo kibao nikieleza hapa simalizi
Mtu kama huyu angenioa am sure leo ningekuwa ninakilio, huo utegezi inakuaje mwanaume unapanda bila nauli na akijua mwenzie ni mwanafunzi angalau angemwambia kabla hawajapanda ili dada wa watu ajue, kiukweli binafsi nisingemlipia angejua cha kufanya, utakuta alikuwa na hela basi tu alitaka alipiwe

Tabu ni kwamba hapa wengi wanadhan sie tunapinga hvi tunataka hela, ila ukwel tunajaribu kuwaeleza watu wenye tabia hii ni mzigo kwa namna gani, ili mabinti wawe na tahadhari na hlo, mapenzi/ndoa haingalii pesa ila upendo wa dhati, uvumilivu na ustahimilivu wa mambo, unaweza kuwa na mwanaume ambaye anakipato kidogo kabisa lakin akawa ni mtu mwenye anayejal familia, atajitahid kuifanya familia iwe na amani muda tuchukulie mtu anayepoke kima cha chin 180000 akaja nyumbani akatoa hata 80000 tu labda mama mwl anapokea 240000 take home, nikimaanisha labda anamkopo ndio maana akapata 240000 hv hiyo 80000 haita msaidia mama kujiongeza hapo katika bajet yake kulinga na maisha yao? itakuwa sawa na kubwa jinga ambalo linapokea 900000 alafu bado linapiga mizinga? huyu ni mwanaume wa kumvumilia? hebu wakaka kuwen wakwel hapo,hayo ni mahaba nifilisi kama si ujinga, ukwel ni kwamba akina kaka wengi mnamaliza pesa zenu kwenye starehe za kijinga kama pombe, kujifanya mnajua kutumia pesa bar sijui mnataka sifa kwa ma barmeid, Hakuna binadam asiejua kupenda na thaman ya kupendwa lakin lazim kila mmoja ajue wajibu wake hata kwakuchangiana kiduchu, Nyie wanaume mlilalamika kuwa wanawake ni magoli kipa, sie tukajiongeza ili maisha yaende. sasa mmekutwa na yapi hadi kujisahau na kuwa tegemezi tena?

Note: sio wanaume wote ni wale tegemez ndio walengwa
 
Back
Top Bottom