Curtiz
JF-Expert Member
- Oct 1, 2021
- 682
- 1,378
Kabisa mkuu, nakuelewa mnooHao unaowaona mabroo kuna sehemu wakifika nao wanaonekana madogo tu, nazani umenielewa
Kabisa mkuu, nakuelewa mnooHao unaowaona mabroo kuna sehemu wakifika nao wanaonekana madogo tu, nazani umenielewa
Kabisa! Unaweza ukawa bahili na mwenye kufanya calculation za Hali ya juu kuhusu mambo ya fedha lakini hiyo pesa ikakupita kushoto!Suala la fedha watu wanalichukulia poa.....lakini ni sayansi ngumu sana.
Haya mambo madogo madogo (petty issues) ndo yanatupa umaskini.
Mkuu nondo kubwa zinatakiwa ziende kwa watu wa kubwa kama wewe...........Hapa tunazungumzia daraja la chini ambalo wahusika wanaweza kunufaika na haya niliyoyasema.
Siku ikifika zamu yako nitakuwekea mantisa, logarithms, Monopolism na vingine vyenye uzito sawa na wewe.
BTW nimegusia swala la kuweka akiba na wewe kwa level yako hujui hata mabepari wanaofanana na wewe wanaweka akiba then wanainvest. Na vipi kuhusu hoja ya matumizi mabaya ya fedha hayaangushi uchumi wa mtu mmojammoja.
Mkuu Kipanya rudi kwenye uzi wetu wa kuwaua wanajeshi wa Russia 800+ a day