Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Omba uhamisho rudi kwa mke wako Malaya mkubwa wewe.
Ahsante malaika,nitarudi kwa mke wangu!
Naamini wewe ni mtenda mema,hauna hata chembe ya dhambi,japo sina hakika kama wewe ni bikra,na possibly hata haujaolewa!!!
 
nyege mbaya sana

na umepata wapi ujasiri wa kupiga picha, yaani umechukulia vitu easy sana aisee, we ni waajabu
 
Wengi mnanituhumu kwa sababu nimekuwa mkweli,lakini si ajabu hata wewe umeshateleza mara nyingi tu,ila hayajakukuta,linapokuja swala la mapenzi watu tunafanya mambo ya ajabu sana,lakini kwa kuwa ni siri basi tunaziacha mioyoni mwetu,wachache tunaojitokeza na kusema yanayotusibu tunashambuliwa sana kana kwamba washambuliaji wote ni innocent kumbe na wao wana ya kwao ila hawayasemi!!
Kweli kaka yanatukuta wote ushauli jaribu kukutana na wazee wenyehekima zao hata nje ya hapo hasahasa babu yako au wajomba zako.
 
Huyo dada mpeleke hospital ana matatizo ya akili huyo hata ukihama anaweza kukufatilia akaja kufanya kitu kibaya familia yako
Hapo mrudie Mungu atakuonyesha njia ya kutokea
 
Mmm pole mkuu! Once someone told me choose but choose wisely ucje jutia maamuzi yako baadae!
 
Aise pole sana kwa mkasa uliokupata boss...

Embu kama kuna uwezekano omba uhamisho...

Huyo mwanamke ni tatizo aisee
 
Back
Top Bottom