Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Usiombe yakukute jamani, daah!!!

Dah pole sana ikiwezekana omba uhamisho kimya kimya sa mbona itakuwa hatar kama anaeza kujikata hvo vpi kuhusu mengine dah tafta namna ya kumuepuka
 
Mkuu, tuliambiwa hawa watu tuishi nao kwa akili sana n.a. sio kutumia nguvu n.a. ubabe.
Nakushauri, ghairi hiyo safari then jishushe kwa huyo mwanamke. Tayari anafaham kuwa uko na mke n.a. watoto wawili, muulize yeye anataka nini/muishi vp? Maana tayari una familia n.a. ni lazima uihudumie.
Alaf fanya kumrudisha aishi kwake asije kwako kulala n.a. asiwe n.a. access ya kuingia ndani kwako hata kama haupo. Ukishindwa, hama nyumba n.a. yeye acha aishi mwenyewe. Hii itakuepusha n.a. risk ya huyo mwanamke kuja kufanya chochote kibaya ndani kwako ikiwa mtaendelea kuishi wote. Mfano akijiua n.a. kuacha memo yenye kukutia matatizoni.
 
Mkuu, tuliambiwa hawa watu tuishi nao kwa akili sana n.a. sio kutumia nguvu n.a. ubabe.
Nakushauri, ghairi hiyo safari then jishushe kwa huyo mwanamke. Tayari anafaham kuwa uko na mke n.a. watoto wawili, muulize yeye anataka nini/muishi vp? Maana tayari una familia n.a. ni lazima uihudumie.
Alaf fanya kumrudisha aishi kwake asije kwako kulala n.a. asiwe n.a. access ya kuingia ndani kwako hata kama haupo. Ukishindwa, hama nyumba n.a. yeye acha aishi mwenyewe. Hii itakuepusha n.a. risk ya huyo mwanamke kuja kufanya chochote kibaya ndani kwako ikiwa mtaendelea kuishi wote. Mfano akijiua n.a. kuacha memo yenye kukutia matatizoni.
Na hilo ndilo linanifikirisha zaidi,kwani naona kila dalili kwamba akijiua nikawekwa kifungoni hata hao watoto wangu 2 sitawakuza kama nitakavyo,na mpaka kuwa huru inawezachukua miaka mingi kiasi kwamba nitakuwa nimepoteza mwelekeo kabisa!!
 
Mkuu natamambua fika kuwa nilikoaea sana,sana sana!!!
Siku ninajutia sana makosa yangu,lakini kubwa ni namna gani naweza kutoka hapa,angekuwa anaishi mbali isingenipa shida,tatizo ni kwamba tupo ofisi moja mkuu,na majukumu mengi tunafanya pamoja,naogopa sana kwa kweli sana!!!
Si tumekwambia usepe au huelewi?

CASE CLOSED!
 
And you call yourself a Great Man.

Shaking my damn head.

Only a coward approaches a woman with no intention of loving her.
 
And you call yourself a Great Man.

Shaking my damn head.

Only a coward approaches a woman with no intention of loving her.
Possibly you are living in a dream world, the world is full of illusions my friend,better we could have an opportunity to recognise the unseen!!!
We would possibly have learned a lot dadaa!!!
 
Mimi ni mwanaume lakini huwa nawashangaa sana wanaume wanaofikia maamuzi ya kipuuzi kama ya mtoa mada...upuuzi wenyewe ni huu:-
1. Hivi unaanzaje kumtongoza msichana usiye na hisia nae za kimapenzi (yaani humpendi)? Hata ukafanya nae ngono?
2. Kama ulikuwa hutaki kuzaa nae kwanini usingetumia kinga?
3. Unaanzaje kujenga mazoea ya karibu na mwanamke asiye mkeo hata ukamruhusu alale ndani mwako?alipokwambia anajiskia vibaya/usingizi kwanini usingempeleka nyumbani kwake maana umesema apartments zenu zipo jirani?
4.Unaruhusuje mwanamke asiye mkeo/mpenzi wako alale kitandani kwako ?
Kwa upuuzi ulioufanya mtoa mada hustahili ushauri wowote zaidi ya kupambana na ujinga wako
 
And you call yourself a Great Man.

Shaking my damn head.

Only a coward approaches a woman with no intention of loving her.
Una akili sana mkuu, yaani ni ujinga kiwango cha lami kumtongoza mwanamke usiye na hisia nae na ni upumbavu uliotukuka kuzaa na mwanamke usiye na mpango wa kuja ishi nae!
Mtoa mada kajichumia janga,wacha ale na wakwao
 
Mimi ni mwanaume lakini huwa nawashangaa sana wanaume wanaofikia maamuzi ya kipuuzi kama ya mtoa mada...upuuzi wenyewe ni huu:-
1. Hivi unaanzaje kumtongoza msichana usiye na hisia nae za kimapenzi (yaani humpendi)? Hata ukafanya nae ngono?
2. Kama ulikuwa hutaki kuzaa nae kwanini usingetumia kinga?
3. Unaanzaje kujenga mazoea ya karibu na mwanamke asiye mkeo hata ukamruhusu alale ndani mwako?alipokwambia anajiskia vibaya/usingizi kwanini usingempeleka nyumbani kwake maana umesema apartments zenu zipo jirani?
4.Unaruhusuje mwanamke asiye mkeo/mpenzi wako alale kitandani kwako ?
Kwa upuuzi ulioufanya mtoa mada hustahili ushauri wowote zaidi ya kupambana na ujinga wako
Hongera sana Mr.perfect,najua lazima una upuuzi wako pia,as long as wewe ni binadamu,upuuzi wangu ndo huo uliouorodhesha na nakubali kabisa,lakini usijihesabie haki mkuu,hauna cha kushauri kwa sababu u mkamilifu sana,sawa,hakuna problem!!!
 
Una akili sana mkuu, yaani ni ujinga kiwango cha lami kumtongoza mwanamke usiye na hisia nae na ni upumbavu uliotukuka kuzaa na mwanamke usiye na mpango wa kuja ishi nae!
Mtoa mada kajichumia janga,wacha ale na wakwao
Tulia usome vizuri,uelewe then urudi,ni bahati mbaya sana mlio wengi mkiona thread ndefu hamsomi mkaelewa,mnaishia kukomment tuuuu,kwa mfano wewe ungesoma vizuri na kuelewa usingeandika ulivyoandika,na kama umesoma mpaka mwisho basi utakuwa kilaza,kiasi kwamba haujaelewa uzi!!!

Wenye kusoma kwa Kutulia na kuelewa sawa sawa wametoa ushauri wao kwa kadri wanavyoweza na ushauri wao umeniongezea hatua katika kulitatua hili janga!
 
Una akili sana mkuu, yaani ni ujinga kiwango cha lami kumtongoza mwanamke usiye na hisia nae na ni upumbavu uliotukuka kuzaa na mwanamke usiye na mpango wa kuja ishi nae!
Mtoa mada kajichumia janga,wacha ale na wakwao
Walio wengi humu hufanya makosa kama niliyoyafanya mimi,japo ili kuficha aibu,mnatoa mimba,au mwanaume anakataa mtoto/watoto,hapo upumbavu unauepukaje,najiuliza maswali kwamba,mimi nashambuliwa kwa uzembe (japo wengine mnafikia hatua ya kuita upumbavu),lakini je,ni kweli kwamba kati yenu nyooote mnaonishambulia bado MNA bikra zenu?kama hapana,je,mumekuwa na mahusiano na mpnz mmoja mmoja tu?(yule aliyekubikiri/uliyembikiri!??)

Kwa dhati ya nafsi yako,ni kila mwanamke au mwanaume uliye naye kwenye mahusiano unampenda!???mbona wengine mnapenda pesa zao na mna-date nao???

Hebu tuweni na utu basi,mimi kusema udhaifu wangu haina maana kwamba wengine mu watakatifu!!!

Mtu anajiuliza kwanini nilikubali alale chumbani kwangu,kana kwamba angekuwa yeye angemfukuza wakati asilimia tisini ya wanaume wangefanya kama nilivyofanya mimi,sema matokeo yake ndo yameniumbua,lakini isinhetokea hii hali sidhani kama ningejuta!
 
Back
Top Bottom