Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,820
Jamani wahasibu wenzangu mnafeli wapi?
Nipo na mrembo kawe Leo, mara akapita Kaka mmoja rafkiangu akasonya. Nikamwuliza shida nini, jibu nililojibiwa sikuamini
Mrembo: huyu Kaka bwana alinitoa out weekend, nikaenda nae huko Kwa hotel, tumeongea vizuri, tumekuwa, tumekunywa, tumefurahi, kanisumbua wiki 2 nikakubali kutoka nae out, alafu ananiletea mambo ya kizamani
Money Penny: mambo gan tenaaa?!
Mrembo: bili ilipokuja ananiambia tugawane malipo nusu Kwa nusu, yeye alipie nusu na Mimi nilipe nusu
Money Penny: bili ulikuja bei gan?!
Mrembo: laki 1 nanusu
Money Penny: na wewe 75 haukuwa nayo au?!
Mrembo: nilikuwa nayo, lakini yeye ndio kanisumbua, alitakiwa alipe yeye sio Mimi, Yani wanaume wengine ovyo Sana, anasema yeye NI mhasibu WA kampuni moja hapa mjini, nashangaa Leo kumkuta hapa Kawe🙄
Wahasibu WA skuhizi sijui wamekuwaje?!
Siwashauri wadada kutoka out na mhasibu
Money Penny: mkayamalizaje na Kaka WA watu?!
Mrembo: sikulipa, nikaondoka nikamwacha ananiangalia,
Jamani wahasibu wenzangu WA kiume mnafeli wapi?! Au ndio uchumi WA Kati?
Nipo na mrembo kawe Leo, mara akapita Kaka mmoja rafkiangu akasonya. Nikamwuliza shida nini, jibu nililojibiwa sikuamini
Mrembo: huyu Kaka bwana alinitoa out weekend, nikaenda nae huko Kwa hotel, tumeongea vizuri, tumekuwa, tumekunywa, tumefurahi, kanisumbua wiki 2 nikakubali kutoka nae out, alafu ananiletea mambo ya kizamani
Money Penny: mambo gan tenaaa?!
Mrembo: bili ilipokuja ananiambia tugawane malipo nusu Kwa nusu, yeye alipie nusu na Mimi nilipe nusu
Money Penny: bili ulikuja bei gan?!
Mrembo: laki 1 nanusu
Money Penny: na wewe 75 haukuwa nayo au?!
Mrembo: nilikuwa nayo, lakini yeye ndio kanisumbua, alitakiwa alipe yeye sio Mimi, Yani wanaume wengine ovyo Sana, anasema yeye NI mhasibu WA kampuni moja hapa mjini, nashangaa Leo kumkuta hapa Kawe🙄
Wahasibu WA skuhizi sijui wamekuwaje?!
Siwashauri wadada kutoka out na mhasibu
Money Penny: mkayamalizaje na Kaka WA watu?!
Mrembo: sikulipa, nikaondoka nikamwacha ananiangalia,
Jamani wahasibu wenzangu WA kiume mnafeli wapi?! Au ndio uchumi WA Kati?