msakaa jr
JF-Expert Member
- May 18, 2017
- 6,509
- 6,722
Basi muraaaKawaida yangu boss
Basi muraaaKawaida yangu boss
Na mnenguaji ananengua kwenye maandalizi Miezi 3
Bora mnenguaji kuliko mkalia kiti(mhasibu)
Doh wanenguaji wanalipwa bei kubwa, laki 5?!
Kutana na Madaktari, Wanajeshi, Wanasheria hao fresh mzeeKwa hyo ni fani gani ambayo haina wabahili mkuu?
Fuatilia wewe unijuze
Me Huyo diamond hata simfuatiliagi
Nani huyo??🙄Ila kwa haraka haraka tu anavuta mkwanja mrefu zaidi ya meneja wa benki,anapewa nyumba na gari
Nani huyo??
hahahahadancers wa diamond,ongeza na trip za kwenda nchi mbalimbali kufanya shoo
then what are you doing here kama hutaki attention yourself?Attention seeking is a serious disorder
Did i blame you madam?then what are you doing here kama hutaki attention yourself?
i dont know, what do you think?Did i blame you madam?
Jamani wahasibu wenzangu mnafeli wapi?
Nipo na mrembo kawe Leo, mara akapita Kaka mmoja rafkiangu akasonya. Nikamwuliza shida nini, jibu nililojibiwa sikuamini
Mrembo: huyu Kaka bwana alinitoa out weekend, nikaenda nae huko Kwa hotel, tumeongea vizuri, tumekuwa, tumekunywa, tumefurahi, kanisumbua wiki 2 nikakubali kutoka nae out, alafu ananiletea mambo ya kizamani
Money Penny: mambo gan tenaaa?!
Mrembo: bili ilipokuja ananiambia tugawane malipo nusu Kwa nusu, yeye alipie nusu na Mimi nilipe nusu
Money Penny: bili ulikuja bei gan?!
Mrembo: laki 1 nanusu
Money Penny: na wewe 75 haukuwa nayo au?!
Mrembo: nilikuwa nayo, lakini yeye ndio kanisumbua, alitakiwa alipe yeye sio Mimi, Yani wanaume wengine ovyo Sana, anasema yeye NI mhasibu WA kampuni moja hapa mjini, nashangaa Leo kumkuta hapa Kawe🙄
Wahasibu WA skuhizi sijui wamekuwaje?!
Siwashauri wadada kutoka out na mhasibu
Money Penny: mkayamalizaje na Kaka WA watu?!
Mrembo: sikulipa, nikaondoka nikamwacha ananiangalia,
Jamani wahasibu wenzangu WA kiume mnafeli wapi?! Au ndio uchumi WA Kati?
Nothingi dont know, what do you think?