lazma mzanzibar huyu...
hujui sifa yao au...why?................
chooni wanaenda kunawa miguu...vichakani na baahrini ndo mpango mzima!wana sifa nyingi
ipi hiyo?
Umejuaje kama tumbo lilichafuka???? inawezekana ni utaratibu wake wa kawaida. halafu vile vile anaonakana ni kamanda inaweze alikuwa hapo ni vitani,amesikia bunduki zimenyamaza ndo akaona ni nafasi ya kijisave.
Wacha kashfa za rejareja weye..eeh? kwanini lakini?chooni wanaenda kunawa miguu...vichakani na baahrini ndo mpango mzima!
Huyu mzoefu maana hana aibu ya kujificha.
Ila porini raha una achia pwaa hakuna kuremba remba.
Umenichekesha wewe! Ah! Kwani wewe huwa unaremba?