Usiombe Tumbo Likachafuka ukiwa Porini!!

kaeso

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
551
96
Jamaa alizidiwa kwelikweli...
 

Attachments

  • kimba.jpg
    kimba.jpg
    20.5 KB · Views: 402
Umejuaje kama tumbo lilichafuka???? inawezekana ni utaratibu wake wa kawaida. halafu vile vile anaonakana ni kamanda inaweze alikuwa hapo ni vitani,amesikia bunduki zimenyamaza ndo akaona ni nafasi ya kijisave.
 
Huyo ni kawaida yake. Mbona anajikamua kabisa. Hata hivyo sio mstaarabu angeingia kwa ndani kidogo, hapo ni njiani kwa wapita kwa miguu.
 
Huyo jamaa ni kawaida yake, nimeshamfumania mara kibao akifanya hy mambo af cha ajabu choo kwake kipo..
 
Mbaya zaidi awe amekula mapera hapo ndo inakuwa shughuli kweli kweli
 
huyu jamaa tena anakipiga kitu uchochoroni..! yani hapo wakaja watoto ni balaa..! sijui atavaa fasta fasta bila kujisafisha huko kwenye nanii yake..! ili kuficha aibu..?
 
Huyu mzoefu maana hana aibu ya kujificha.
Ila porini raha una achia pwaa hakuna kuremba remba.
 
Kichwa yake mbovu si angeingia walau mahala ambapo sio njia ya miguu ya watu wengine, sawa ni mbolea ila hiyo ni njia ya wenda kwa miguu aingie huko kwenye vichaka, mwambie azoe
 
Back
Top Bottom