Umejuaje kama tumbo lilichafuka???? inawezekana ni utaratibu wake wa kawaida. halafu vile vile anaonakana ni kamanda inaweze alikuwa hapo ni vitani,amesikia bunduki zimenyamaza ndo akaona ni nafasi ya kijisave.
huyu jamaa tena anakipiga kitu uchochoroni..! yani hapo wakaja watoto ni balaa..! sijui atavaa fasta fasta bila kujisafisha huko kwenye nanii yake..! ili kuficha aibu..?
Kichwa yake mbovu si angeingia walau mahala ambapo sio njia ya miguu ya watu wengine, sawa ni mbolea ila hiyo ni njia ya wenda kwa miguu aingie huko kwenye vichaka, mwambie azoe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.