Usiogope wanavyomshangilia

Yaani vilevile... Du!
 
Unataka kutwambia nini sasa. Kufananisha nini
 
Waganda wenyewe wanakwambia museveni ameua watu wengi kuliko idd amin
Hilo watu hawalioni mkuu, watu wakikuchukia watakupa majina yote mabaya. Gaddafi na Sadam Hussein waliitwa madicteta katili waliokua wanachinja watu wao. Leo hii majeshi 'pendwa ya ukombzi' ya nchi za Magharibi uameua maradufu zaidi ya hao 'madikteta' na wezivuruga kabisa nchi hizo
 
bavicha wapika majungu Katika ubora wao.
 
1. Serikali hii ya JK Ni dhaifu, nchi inahitaji Raisi dikteta ili isonge mbele - Mnyika
Dikteta kwenye nini??ninyi watu wagumu sana kuelewa dhana ya upinzani kuhitaji raisi dikteta kifupi hatukuhitaji raisi asiyeshaurika,anaepuuza katiba na sheria ya vyama vingi,anaependa asikike yeye tu wengine hapana,anaependelea ukanda,anaependa vyombo vya habari vimwongelee yeye tu tena kwa kumsifia kinyume chake vinafungiwa,raisi mwenye upendeleo wa wazi wa watu anaowapenda sana(Bashite)ni mfano wa pekee,anaezima bunge live bila sababu za msingi,mwenye vitisho kwa wafanya biashara na wawekezaji(kubadilisha noti na kuishi kishetani)mwenye hasira na ubabe ambao hata hauna sababu,asieheshimu mihimili mingine ya dola,yule ambae watu hupotea na wasionekane tena,yule ambae miili ya watu waliokufa vifo vya mateso na kuokotwa baharini na watawala hawasemi chochote juu ya jambo hilo,Asieheshimu mikataba ya kimataifa ya utawala bora na misingi ya haki za binadamu HUYO HATUMUHITAJI KAA NAE MWENYEWE HUTUKUMAANISHA HIVYO.
 
Ila hawakuwa madikteta... au sio
 
kwahiyo kuua ni sawa mbwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…