Usioe Mwanamke asiyekupenda

Genuine desire cannot be negotiated.
 

Kama mtu hatakuelewa na hapa basi amini kwamba One day and one time, in a one way or the other, somewhere and somehow wataelewa kwa vitendo zaidi....
 
Siku zote toa kile ambacho ungependa kukipokea...! Usisubiri uanze kupendwa ww, anza ww kupenda then utapata kile unachotoa....! Hiyo formula ya kusema oa au olewa na anayekupenda ni ya kijinga, sasa kila mtu akifuata hiyo formula upendo hauwezi kuwepo
 
 
We jamaa ni expert kwenye sector ya mapenzi,kwa mamlaka niliyonayo nakuondolea tozo 8 kati ya 23 za nishati ya mafuta kuanzia June 01 2022
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…