JABALI LA KARNE
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 3,093
- 5,816
Hata unfekuwa na hiyo pesa unavyoonekana usingenunua😃Sina mpango Wa kununua NA hainifai kwa matumizi HATA HIVYO SINA IYO PESA ASEE mil 4 mimi Huyo Nitoe hiy pesa
Hata unfekuwa na hiyo pesa unavyoonekana usingenunua😃Sina mpango Wa kununua NA hainifai kwa matumizi HATA HIVYO SINA IYO PESA ASEE mil 4 mimi Huyo Nitoe hiy pesa
Umaskini ni kitu kibaya sana..yaani mtu anaetumia Gadget ya $900 anaonekana tajiri na mpenda anasa
Sijawahi fikiri wala kuwa na hamu ya kumiliki iphone Hata Kidogo Hizi simu hazinifai kabisi Too much Complicated Kitaa tunaziita gate kali
Simu yangu Pendwa Google pixel Goja nijichange nivute 3XL
aina noma mzeeSema wewe hauna hela kama simu yako pendwa ni Google pixel kwanini usichukue Google pixel latest maana hiyo 3 ni ya zaman
huyo popoma analeta ushabiki maandazi.Wakati nyie mnalialia na Malalamiko kibao angalieni wenzenu
View attachment 1944028View attachment 1944028
Huyo naona anataka weka movie ,, GTA na yale magame ya mission nkMkuu 1TB unatunza nini kwenye simu?
Mimi kwenye simu hua sizidishi 50GB, hapa nina simu ina 256GB najiuliza nitazijaza lini hizi?
Mimi napenda simu kubwa hizi ila sio kwa sababu ya storage, ni kwa sababu ya functionalities zake.
Toka nimeanza kutumia simu nimefanya analysis naona simu za 64GB zinanitosha kabisa sema nyingi za hivyo hazina functionalities nazotaka kama good camera, higher refresh rate, high screen resolution na mambo kama hayo.
Pole sana mkuuKuna sababu imesababisha nikapenda simu za camera kubwa, huko nyuma nilikua natumia simu za camera ya kawaida, nikawa napiga piga picha za matukio. Sasa nilikua nimepiga picha na mama yangu, bahati mbaya mama akafariki, sasa zile good moments nilizokua na mama nilipojaribu kuziweka kwenye kumbukumbu kama picha kubwa za ukutani zikawa haziwezekani, zinaharibika, kwa ujumla sio nzuri. Hilo jambo limeniuma sana, nikaamua kuanza kununua simu kubwa tu zenye camera bora kabisa.
Hiyo ndio sababu kubwa nikaona haya maisha tunaishi mara moja, ukipata nafasi ya kuweka kumbukumbu na mtu unaempenda basi hiyo kumbukumbu iishi kwa muda mrefu angalau kwa wakati wa maisha yako.
dunia inakwenda kasi sana ndugu zangu.Huyo naona anataka weka movie ,, GTA na yale magame ya mission nk
Kwa kawaida hata 256Gb humalizi data hazili nafasi kubwa hivo labda anataka hifadhi movie
Uko kama mimi.. nikienda kununua simu mtu akianza kusifia camera huwa namwangalia tu.. yan camera kwangu sio issue mana picha zenyewe sipigi. Mtu akiongelea charge atleast namuelewa
😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂😂Unatumia simu kwa uogauoga ili isidondoke kisa itakapo kuja mpya ukabadilishe? Huo ni umasikini. Tumia simu inapokuja mpya huna haja ya kuibadilisha tafuta mtu umpe/muuzie igawe au iweke kama makumbusho kisha chana wallet ukanunue mpya udhihirishe umwamba wako unaousema hapo
Mfano mm picha hata kwa mtu iwe ina 10mb me ninachoangalia kwenye hii simu yangu inaonekanaje nina picha za mb 2.5 ni nzuri za hii simu nikimtumia yoyote bado ni kali na camera ako na 8mp tudunia inakwenda kasi sana ndugu zangu.
miaka 5 tu iliyopita,ukiwa na memorycard ya 2gb unajiona mjanja sana,kwa sasa ili uwe na amani na flash yako,inatakiwa at least iwe 64gb.
256gb,ni nyingi kweli,ila jaribu kurekodi video moja ya tukio muhimu kwa 4k,uone itatoka video kubwa kiasi gani,video ya ya 5min inachukua mpaka 700mb.picha moja inasoma 8mb,unaweza usione umuhimu wake leo,ila miaka 5 mbele,ukaona ulijidhulumu.
Mbona 1TB harddrive zipo tena Kwa Laki 1 mpk 2 tu yaani Uchome mil 4 kisa 1TBNitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.
Kuwa serious basi, iphone 13 ndio simu ya kwanza kuwa na 1tb storage. Huko watu wamefika kitambo tangu 2019Nitanunua kwasababu ya storage tu. Kazi zangu nahitaji storage kubwa na ndio iPhone ya kwanza kuwa na 1TB. Baada ya hapo sitanunua smartphone kwa miaka 10 ijayo labda niibiwe.
Sijawahi elewa kitu inaitwa IPhone!!!Yes, picha za iPhone zina Size kubwa mpaka 10Mb inaweza fika.
Vifushi venyewe hivi??Sasa njia nzuri ya kuhifadhi picha si ni Google drive?
Simu ni kama portable computer siku hizi, unaweka CV, driving licence, documents zako zote za muhimu. Picha za familia na matukio mengine.