Usiniulize nimeipata wapi...

hahaaa chezea mapenzi wewe... damu ikichemka hata kama ni vitani... unasahau.
 
Wakati Mangu yuko busy na maandamano huku barabarani watu wanajinafasi.
 
Wee Mshana nawe!, nilipoona nikambilia nikijua kuna bonge la bleking nyuzzz!, kumbe ni picha tuu ya maandalizi ya kazi na dawa!, hapo kuna news gani?!, si ni wako garden baada ya kazi ya kutwa nzima juani!, wangekuwa wako lindo labda!, na pia kupeanza pumziko baada ya kazi ni rukhsa!, liwazo la moyo maofisini rukhsa!, na hata kuchukua jumla imo, ila mmoja atabadilishwa kituo cha kazi!.

Labda ingekuwa nyuzz kama angekuwa Mangwe na Adivera hizi, lakini hao, ni ruhusa kabisa!.

Ila mafundi simu siki hizi ni noma kweli!.

Pasco.
 
Lisha nyama ya ulimi toa mazungumzo matamu na kwenye udhia tea rupia
 


.....ha ha ha kila siku ningekuwa na pita na kosa !!!
 
Halafu anapete kuonyesha mke wa mtu... Usalama oyeeee
 
Duuh.. Mahaba kazini haya lol.. Wanazidhalilisha gwandas hizo..
 
Huyo si Mpoki huyu! Kwani siku hizi kawa Traffic?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…