Usiniulize kwanini sichepuki

huyu mamsapu nna miaka nae minne, hakuna uhuni ambao sijawahi kuufanya ila tangu blaza alivyopotea kwa ugonjwa wa kukondesha, nimeamua kuwa mpole na kutafuna steki za mamsapu exclusively.. karibu bia mkuu
vipi siku ukigundua wenzio wanajinyakulia?
 
'Hakuna uhuni ambao hujawahi fanya' kwahiyo tigo umekula sanaa,je ulishawahi vaa kondom mlegezo?
 
Hivi wewe c ndo yule ulimpa mkeo mshahara nusu au nimekufananisha
 
Mi nawatombaga tu..!
Tena pekupeku!
 
blaza mkubwa alikua hapigi kavu na bado alikufa kwa ngoma.. tafakari
Watu wengne mtafundishwa kwakukalipiwa acha uzezeta kwani we ndo ulikua una mshikia mapaja.? au ulikua unamvalisha kondomu.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…