Kitimbwisi
Senior Member
- Feb 5, 2013
- 155
- 72
hata mie
Nifanyaje sasa usingizi hauji kha!
Haya nimeshaku PM mbona hakuna majibu...?Sasa c unipm tu wewe moja kwa moja
leo na mimi usingizi umegoma, too bad naona wengine wote wamelala leo. Nakesha na nani mie jamani?
leo na mimi usingizi umegoma, too bad naona wengine wote wamelala leo. Nakesha na nani mie jamani?
Serious?
Naona we mzoefu wa kukesha
kutokulala si nzuri kiafya. ngoja mi nilazimishe usingizi japo jogoo kashawikaKama kawa, all day n night long
kutokulala si nzuri kiafya. ngoja mi nilazimishe usingizi japo jogoo kashawika