Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,400
Dah...nilijua nipo peke yangu,kitu kimekata nagala gala tuu....
Hamlali et
Tumelala, tunajibu huku tu usingzn
Huwez amin mpaka sasa usingizi bado..naingia Jf, mara Fb mara Ig..ilimlad tu usingiz uje
Oops!! Sa kukicha si hutafanya majukumu ya siku?
me ndo nazima taaa.. sijui kama ntawah job
mmmh ushalala?tuko wengi
nahangaika kudownload 24 Live Another day naona kickass inanigomea nimeboreka na nilikuwa naham kweli ya kumuona jack bauer na chloe sijui nifanyeje hebu anza kudown load unifundishe njia??
ntakudownloadia afu nikutumie this weekendC6 mdogo wangu wa moyoni, nakupenda kuliko pipi kaka mzuri.............
naomba udownload iyo muvi unitumie wangu yaani nafwa kwa kihoro mimi nimejaribu nimejikuta napata makorokocho usipime mwisho avast ikaniambia imedetect threat nikaogopa na kuicommand iache kulitafuta ilo file.
plzzzzzz kaka mzuri do me a favor............nakupendajeeee sasa?
ntakudownloadia afu nikutumie this weekend
mmmh ushalala?
Hata PM inatosha si lazima e mail.
af wewe????
ngoja kwanza ntakunasa tu
maneno yako kwakweli yananifanya nianze kukudownloadia sasa ivipokea shukrani zangu za moyoni mdogo wangu wa moyoni.............
yaani ntafurah sana sijui nisemeje kaka mzuriiiiiii
barikiwa sana sana mdogo wangu wa moyoni.
nakupenda sana
Umenigusa