Hivi usingizi maana yake ni nini hasa?
Je, ni kupoteza fahamu kwa muda au ni nusu kifo?
Je, ili tusinzie ni lazima kufumba macho au tunaweza kusinzia bila kufumba macho kama Sungura?
Kuna viumbe hai wasiosinzia? Kwanini?
Kwanini watu huota wasinziapo?
Je, ni kupoteza fahamu kwa muda au ni nusu kifo?
Je, ili tusinzie ni lazima kufumba macho au tunaweza kusinzia bila kufumba macho kama Sungura?
Kuna viumbe hai wasiosinzia? Kwanini?
Kwanini watu huota wasinziapo?