Usimrudie Mwanamke aliye-cheat , Never!

Mimi namrudia mkuu ,unajua kuna mda inabidi uangalie furaha yako ilipo bila kujalisha kikwazo😊
Usimkabidhi mtu uwezo wa kuamua furaha yako, nilishasema na nasema tena "hata kama ni mimi niachwe tu nikikamatwa msaliti"
 
Akili za watoto...
 
Halafu wanaume mabwege kama wewe huwa mnasifiwa kweli na wanawake, ila amini na kwambia hakuna mwanamke yeyote humu ambaye atataka mtoto wake wa kiume awe na akili kama zako
Wanaume wa kweli wanazidi kupungua kwa kasi.Wengi ni watu wenye jinsia ya kiume ila sio wanaume kwasababu wengi wetu ni dhaifu sana.Ukiona mwanaume anaona ni sawa mwanamke wake akichepuka jua hakuna mwanaume hapo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…