DeMostAdmired
JF-Expert Member
- Oct 7, 2017
- 988
- 2,616
HABARINI FJ PEOPLE
Nimependa leo niseme kitu kidogo juu ya tatizo la HIV/AIDs. Hamna asiyejua kwamba HIV ni janga kubwa hasa katita nchi zinazoendelea. Am sorry najua humu kuna baadhi wapo na HIV+ status lakini ni lazima waelewe kwamba ni jukumu letu sote kupambana na kutokomeza hii kitu.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni kitu hiki. Ilikuwa ni week ilopita tar 13/ 01/ 024 nilikuwa naenda zangu hospital kumchek mshikaji wangu alipataga ajali na toyo yake, sasa nimebakisha kama hatua 30 kufika hosii nikapishana na sistee mmoja mkali nikisema mkali hapa naomba muelewe yule binti ni mrefu, chocolate color, anahips na anasura nzuri nzuri nzuri zaidi ya malkia wa shebah. Mimi uzalendo ukanishinda ikanibidi nimpige mkono bila ajizi akaitikia, nikamsalimia akaitika na alikuwa anaonesha kuwa ni mcheshi sana na mkarim kila nilichomwambia au kumuuliza aliitikia vizuri tu.
Tulibadirishana namba na kuachana. Sasa nilipofika hosii mapokez kushoto pembeni kulikuwa na mahema yanayoshughulika na clinic za watu wenye HIV na kifua kikuu nilishangaa kuona warembo wengi wengi mno pia wazee na watoto pia vijana wengi wao hasa wale warembo walikuwa wanaonekana kuwa na afya nzuri sana kifupi walikuwa wanavutia sana.
Sasa nikapita kuelekea wodin kwa msela nilitumia kama dk 4 tu maana muda ulikuwa ushaisha wa kuwaona wagonjwa ikabidi nitoke zangu sasa ile nimefika mlangoni nilimuona yule sistee nilomsimamisha na kumuomba namba akiwa miongoni mwa wale walokuja clinic nayeye pia aliniona na hakuonesha kustuka wala sikupenda pia anotice kwamba mimi nishamsuspect kwamba yawezekana yeye ni muathirika.
Niliendelea na safar na nikampungia mkono wa kwaheri, sas ulipita muda kidogo nikaona mesej inaingia na alikuwa ni yule bint tulichat sana na hatukuongelea maswala ya hospital ila zilikuwa stor zngne tu. Sasa kesho yake ilikuwa j pili mida ya saa kumi niliona cm inaingia nikaangalia alikuwa yeye bas nikapokea na tukaanza kuongea na alianza kunigusia kuhusu mambo ya HIV nikaona imekuwa afadhar yeye mwenyew kaanzisha mada.
Yalikuwa maongezi mazito lakini mwishon aliweza kuniweka wazi kwamba yeye ni HIV+ na nilimpongeza sana kwa kitendo cha kiuungwana kunisanua maan kiukweli kwa uzur na afya yake sidhani kama endapo tungefanikiwa kuwa wapenz ningegusia swala la kwenda kupima yani ningeenda mzima mzima bila hata ya kinga na ningempelekea moto kwa kumkomoa kwasbb ni mali inayostahili kupigwa show ambayo isingeweza kusahaulika kirahisi lakini niliepukana na kikombe hiko kwasbb ya uungwana wake na nilishangaa sana kunitamkia kwa ujasiri kuwa ni muathirika.
Ananisisitiza sana nisimtenge kwan tunaweza kuwa wapenz na asiniambukize na tukaenjoy maisha ashanichukua tukaenda kwa dokt wake tukapima nikajithibitishia mwenyewe kwamba ana hali hiyo na dkt akatupa elimu juu ya ngono salama ambayo haitanifanya nipate maambukizi, lakin kiukweli bado nina ugumu sana wa kumpiga show na anafanya kila njia kuniaminisha kwamba inawezekan tukaishi na nikawa sawa maisha yangu yote lakini waaapi moyo unakataa japo sijamtenga yani tupo katika mahusiano kifupi lakini tendo ndo bado sijapata huo ujasiri. Yeye alipata kutoka kwa wazaz wake nawish niwe naye katika maisha yangu kama mke wangu kwasbb ni wife material kiukweli lakini moyo unagoma kwasabb tu ya tatizo alonalo.
Nitoe RAI kwa vijana wenzangu wa kike kwa waume KAMWE USIMUAMINI MTU NENDA NAYE KUPIMA KWANZA AU TUMIA KONDOM HII KITU NI SERIOUS NA MAAMBIKIZI MENGI YANATOKA KWA HAWA TUNAOWAITA MA BROTHERMEN NA MASLAY QUEEN HAWA NDO WANAUSAMBAZA KWA KASI SANA KWASABB NI KAZI KUWASTUKIA NA NI RAHISI KUWAAMINI KWAMBA HAWANA MAAMBUKIZI.
Nimependa leo niseme kitu kidogo juu ya tatizo la HIV/AIDs. Hamna asiyejua kwamba HIV ni janga kubwa hasa katita nchi zinazoendelea. Am sorry najua humu kuna baadhi wapo na HIV+ status lakini ni lazima waelewe kwamba ni jukumu letu sote kupambana na kutokomeza hii kitu.
Kilichonifanya niandike uzi huu ni kitu hiki. Ilikuwa ni week ilopita tar 13/ 01/ 024 nilikuwa naenda zangu hospital kumchek mshikaji wangu alipataga ajali na toyo yake, sasa nimebakisha kama hatua 30 kufika hosii nikapishana na sistee mmoja mkali nikisema mkali hapa naomba muelewe yule binti ni mrefu, chocolate color, anahips na anasura nzuri nzuri nzuri zaidi ya malkia wa shebah. Mimi uzalendo ukanishinda ikanibidi nimpige mkono bila ajizi akaitikia, nikamsalimia akaitika na alikuwa anaonesha kuwa ni mcheshi sana na mkarim kila nilichomwambia au kumuuliza aliitikia vizuri tu.
Tulibadirishana namba na kuachana. Sasa nilipofika hosii mapokez kushoto pembeni kulikuwa na mahema yanayoshughulika na clinic za watu wenye HIV na kifua kikuu nilishangaa kuona warembo wengi wengi mno pia wazee na watoto pia vijana wengi wao hasa wale warembo walikuwa wanaonekana kuwa na afya nzuri sana kifupi walikuwa wanavutia sana.
Sasa nikapita kuelekea wodin kwa msela nilitumia kama dk 4 tu maana muda ulikuwa ushaisha wa kuwaona wagonjwa ikabidi nitoke zangu sasa ile nimefika mlangoni nilimuona yule sistee nilomsimamisha na kumuomba namba akiwa miongoni mwa wale walokuja clinic nayeye pia aliniona na hakuonesha kustuka wala sikupenda pia anotice kwamba mimi nishamsuspect kwamba yawezekana yeye ni muathirika.
Niliendelea na safar na nikampungia mkono wa kwaheri, sas ulipita muda kidogo nikaona mesej inaingia na alikuwa ni yule bint tulichat sana na hatukuongelea maswala ya hospital ila zilikuwa stor zngne tu. Sasa kesho yake ilikuwa j pili mida ya saa kumi niliona cm inaingia nikaangalia alikuwa yeye bas nikapokea na tukaanza kuongea na alianza kunigusia kuhusu mambo ya HIV nikaona imekuwa afadhar yeye mwenyew kaanzisha mada.
Yalikuwa maongezi mazito lakini mwishon aliweza kuniweka wazi kwamba yeye ni HIV+ na nilimpongeza sana kwa kitendo cha kiuungwana kunisanua maan kiukweli kwa uzur na afya yake sidhani kama endapo tungefanikiwa kuwa wapenz ningegusia swala la kwenda kupima yani ningeenda mzima mzima bila hata ya kinga na ningempelekea moto kwa kumkomoa kwasbb ni mali inayostahili kupigwa show ambayo isingeweza kusahaulika kirahisi lakini niliepukana na kikombe hiko kwasbb ya uungwana wake na nilishangaa sana kunitamkia kwa ujasiri kuwa ni muathirika.
Ananisisitiza sana nisimtenge kwan tunaweza kuwa wapenz na asiniambukize na tukaenjoy maisha ashanichukua tukaenda kwa dokt wake tukapima nikajithibitishia mwenyewe kwamba ana hali hiyo na dkt akatupa elimu juu ya ngono salama ambayo haitanifanya nipate maambukizi, lakin kiukweli bado nina ugumu sana wa kumpiga show na anafanya kila njia kuniaminisha kwamba inawezekan tukaishi na nikawa sawa maisha yangu yote lakini waaapi moyo unakataa japo sijamtenga yani tupo katika mahusiano kifupi lakini tendo ndo bado sijapata huo ujasiri. Yeye alipata kutoka kwa wazaz wake nawish niwe naye katika maisha yangu kama mke wangu kwasbb ni wife material kiukweli lakini moyo unagoma kwasabb tu ya tatizo alonalo.
Nitoe RAI kwa vijana wenzangu wa kike kwa waume KAMWE USIMUAMINI MTU NENDA NAYE KUPIMA KWANZA AU TUMIA KONDOM HII KITU NI SERIOUS NA MAAMBIKIZI MENGI YANATOKA KWA HAWA TUNAOWAITA MA BROTHERMEN NA MASLAY QUEEN HAWA NDO WANAUSAMBAZA KWA KASI SANA KWASABB NI KAZI KUWASTUKIA NA NI RAHISI KUWAAMINI KWAMBA HAWANA MAAMBUKIZI.