Chiferereji Cha jisatu
Member
- Mar 13, 2023
- 97
- 196
Kama mada inavosomeka hapo juu jamaa angu ana mtu wake kwenye mahusiano huyo binti alimuamisha jamaa kwamba ni Bikira Kwa 100%, lakini alichokuja kugundua Jana baada ya Sex Hakukuta kitu(hamna dalili ya utando wa damu kutoka) kama ilivokawaida(na hiyo sex hadi kupewa amesotea mwaka Sasa)
Sasa hakutaka kumuoji sana mwenzie, alikausha kibabe.
ila amekuja kwangu kuomba ushauri juu ya hilo jambo,
Lakini mimi nachojua ni kwamba Bikira lazima damu itoke(Kwa ninavojua Mimi-kwa experience zangu mbili.) Hivo sijamjbu nimemwambia anipe muda nitamjibu.
Note: Walipanga kuishi wote Kwa kigezo hicho Cha Bikira
Swali: Kuna Bikira kavu kavu ya maji bila damu(sababu zake n zipi?!)
Kama haipo atemane nae au amwache?!
Mnisaidie majibu nimwelekeze mwananetu.
Sasa hakutaka kumuoji sana mwenzie, alikausha kibabe.
ila amekuja kwangu kuomba ushauri juu ya hilo jambo,
Lakini mimi nachojua ni kwamba Bikira lazima damu itoke(Kwa ninavojua Mimi-kwa experience zangu mbili.) Hivo sijamjbu nimemwambia anipe muda nitamjibu.
Note: Walipanga kuishi wote Kwa kigezo hicho Cha Bikira
Swali: Kuna Bikira kavu kavu ya maji bila damu(sababu zake n zipi?!)
Kama haipo atemane nae au amwache?!
Mnisaidie majibu nimwelekeze mwananetu.