Mume wake yupo sahihi, tena ilipaswa akupe Kofi mtawazo ili Akili ikurudiTatizo kudai Tu mume wake kaniuliza namkopesha mke wake kwa sababu ipi pasina kumpa yeye taarifa au nilikua namzguka
Angefiduliwa.Ana bahati sana.Mume wake yupo sahihi, tena ilipaswa akupe Kofi mtawazo ili Akili ikurudi
Head ya Thread na maelezo uliyoandika vinapishana, unatuchanganya. Head inasema ulimkopesha, kwenye maelezo unasema ulimkopaWakuuuu habari za mida ikiwa ni weekend tulivu kabisa
Kwa heshima naandika hapa nilimkopa mke WA MTU pesa sahizi nimeitwa kwa mwenyeketi Nina kesi ya kujibu
Usichanganyikiwe.Angalia saa.Ni saa ngapi?Head ya Thread na maelezo uliyoandika vinapishana, unatuchanganya. Head inasema ulimkopesha, kwenye maelezo unasema ulimkopa
Kama “hujamla”, forget vyote: yeye na hiyo pesa. Lesson learnt the hard wayWakuuuu habari za mida ikiwa ni weekend tulivu kabisa
Kwa heshima naandika hapa nilimkopa mke WA MTU pesa sahizi nimeitwa kwa mwenyeketi Nina kesi ya kujibu
Asipokulipa mnalipana tu! Easy
Kwa shauri la ndgu yetu hapa, huo ushahidi unaweza kumuweka matatani zaidi.Usimkopeshe mtu hela kabsa kabsa ikiwa imekulazimu kufanyia hivo bc
1- muandikishane vzuri kwa maandishi
2- kama sio kuandikishana uwe na ushahidi atleast text au hata calls zote uwe unazirecord na unazitunza kabsa
Lolote laweza kutokea sikuhizi binadamu hawana huruma na pesa imewageuza watu kua mashetani
Tunalipana aje...Asipokulipa mnalipana tu! Easy
kwani we mke wa mtu ?Tumefanyaje kwani.....