Huyu msamehe tunaongelea wasio na woga wa madeni, kama kafirisika muonee huruma.Rafiki yangu nilimkopesha pesa mwaka jana, siku zimeenda kafilisika kibiashara na sioni dalili ya. Kupata hiyo pesa yangu, roho yaniuma sana
Kunz dada mmoja alikuwa na shida mzigo wake wa kuuza umefika hana hela ya mzigo. Kaniomba nimkopeshe 150k atanipa baada ya week 2. Nikamuomba rafiki yangu anipe hiyo hela nimtumie. Mpaka leo hajanirudishia mpaka kani bloch simu zangu. Imebidi nilipe deni mimi. Ila nimemuambia unajizibia baraka hapa duniani, shida haziishi na hujui nani atakufaa kwa wakati gani.Mkuu hivi umeshawai kukopesha mtu pesa unayoitegemea ila akakuahidi anarudisha baada ya wiki moja
Ukaona isiwe tabu ukamkopa alafu ikapita miezi hata miwili yupo kimya amekausha hata taarifa ua kuomba radhi ameshindwa kulipa ndani ya muda hakupi?
Hii kitu ikikupata utajua kwanini hii biashara ya kukopesha hailipi.
Na wewe usikope kwa mtu..Naandika haya nikiwa na machungu sana,
Siku hizi uaminifu umepotea sana tena ni adimu kama cent 5 hasa kwenye suala la pesa.
Mwaka jana nilikopesha sana watu na asilimia kubwa ni hawa "marafiki na workmates" siyo kwamba ninafedha hapana, hapa nilipo hata uwanja tu sina.
Mtu anakuja anakueleza matatizo yake na unamwambia kwakweli saizi sina kitu, anakubembeleza weeeee mwisho unamwonea huruma unaamua kuingia kwenye account na kumpa kiasi kadhaa.
Muda wa kurejesha ukifika sasa maelezo yanaanza kuwa mengi mara ooh subiri kidogo matikiti yapo shamba wiki ijayo naenda kuvuna, baada ya wiki ukimpigia simu hapokei na ikipokelewa anapokea mkewe tena anakuambia mwenye simu hayupo
Wengine sasa... Brother naomba nivumilie kidogo mwisho wa mwezi nitarekebisha then anaingia mitini. Juzi jamaa kanipigia simu (saizi yupo chuoni) ameenda kujiendeleza na ni mwajiriwa serikalini, aliniomba nimtumie hela kwani amekwama sana nikamjibu sina then nikakata simu yake, huyo jamaa mwaka 2017 nilimkopesha laki kwa makubaliano atarudisha mwisho wa mwezi lakini akatokomea kusiko julikana na mimi niliamua tu kusamehe.
Leo nimeamka nikapiga hesaba kama watu wote wangenirudishia hela yangu ningekuwa na kiasi fulani cha pesa nikabaki nahuzunika tu nakujiona kumbe mimi mjinga sana
Saizi sitaki kabisa mchezo na pesa yangu, hela yangu watapata ndugu wa damu moja na wazazi FULL STOP.
Hii technique ni nzuri sana, mtu akikuomba 50k unampa 5k na kumwambia sina kitu kwa sasa, hiyo nimekupa tu wala usirudisheBora mpe Msaada sio Mkopo kama kakuomba Mil na unazo mpe elf 30 mwambie nakuchangia ...sina kitu kabisa...Utaokoa laki 970 na urafiki wenu pia utaendelea.
Alikupa pesa yako?Kuna demu nimemkopesha yaani kila sku ananitengenezea mazingira nmtongozee Ila nkikumbua pesa yngu ata hamu inakata...
Baada ya vitisho alilipa. Bahati nzuri akawa mstaarabu tukaombana msamaha. Tumeendelea kujalianaSiku sio nyingi nitamfunga kaka yangu kwa sababu ya kushindwa kulipa 2m. sasa hivi hapokei simu. Nimemtumia sms nitamnyoosha na undugu ufe tu. Usikopeshe ndugu mdau
Aaah alinipa nusu nyengine atanilipa mbinguni….yaani mtu haogopi ata polisi,kwakifupi yule dada alikuwa kahabaAlikupa pesa yako?
C unaachana naye mkuu....hana vigezo vya kupewa mkopoUko vizuri mkuu, ngoja nianze kutumia hii fursa, lakini vipi huwa unafanyaje kama mtu anakuja kukopa na hana asset yeyote ya kuweka dhamana?
🤣🤣🤣😂😂Aaah alinipa nusu nyengine atanilipa mbinguni….yaani mtu haogopi ata polisi,kwakifupi yule dada alikuwa kahaba