sanalii
JF-Expert Member
- Oct 1, 2018
- 1,434
- 5,096
Kama ikitokea mke wa mtu anahitaji msaada, basi iwe kwa kiasi usijifanye unajali kupitiliza sio vizuri.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.
Sababu ni kuwa, binadamu tuna athiriwa sana na wema, ukimfanyia mtu wema ambao hajafanyiwa au hafanyiwi inaleta tashwishi moyoni.
Mfano:
Mfanyakazi mwenzako (mke wa mtu) anaumwa, itoshe kumjulia hali basi, usianza mara stori nyingi kufanya unamjali sana, huenda mume wake hajafika viwango hivyo, utaleta tashwishi
Umsaidie mke wa mtu kwa kiwango ambocho ni cha lazima sio kujifanya unaenda extra miles, mwisho wa siku mke wa mtu atawaza kuwa anawish angepata mtu 'kama wewe'.
Mbalance shobo na wake za watu.