Si wanalipwa mishahara ?Perdiem yaan kama upo daraja fulani unalipwa let say daraja D 100k kwa siku. Au daraja H 150k kwa siku
JiheshimuWaalimu kwa njaa na umasikini mmeumbiwa na maccm.
Dereva yupo kwenye risk muda mwng kuliko mwlMshahara ni mbali na kazi ya nje ya ofisi. Mshahara ambao degree analipwa toka 2016 hadi leo 2026
Wa 716k ??? Dereza akienda safari ana 150k mwalimu 50k??
Ukweli usemwe, mnazalisha mainjinia, madokta na watu wazito wazito, halafu nyinyi mnalala kwenye vibanda umiza miaka nenda rudi.Jiheshimu
Mshahara mdogo tofauti na kazi yao kubwa kunawatesa, cha ajabu wakiambiwa ukweli wanawaka.Hapana nafikiri ni kujitambua siku wakijitambua walimu watabadilikaa
Mshahara wa mwalimu mwenye shahada ya kwanza una tofauti ipi na wa mchumi wa daraja la pili aliye Halmashauri au Serikali kuu?Mshahara mdogo tofauti na kazi yao kubwa kunawatesa, cha ajabu wakiambiwa ukweli wanawaka.