Usilale na vitu hivi...

Usilale na vitu hivi...

Namba tatu utanisamehe sana maana nikikosa simu naamka saa tatu
 
Apo sawa ila ibala ya 5 na ile ya 6 kwa wasio oa wanapenda kuambatanisha sasa kaazi kwenu
 
Hiyo ya 5, 6 umetunga mwenyewe uwongo? No 2na sie tunaoenda job asubuh mpaka usiku unashaurije tukifika ofisini tuvue sidiria?

Ukiwa kazini huwa unalala? Angalia vizuri kichwa cha habari
 
Utakua umeoa au kuolewa ww mbona umekazia sana ya mwisho mkuu.
I lik 8
 
6 - USILALE NA MKE/MUME WA MTU. Jambo kama hili linapotokea na ukabainika linaweza chukua uhai wa mtu, ni vizuri ukawa makini sana hapa!.

Doreen wa Hazina umesikia hii? kaa chonjo na mienendo yako.
 
Hapana mi mke wa mtu hata kupiga nae story huwa naepuka isije shetani akatuingia !!! Au unataka kujaribu mkuu?
 
Ladies and gentlemen

2 - USILALE UMEVAA SIDILIA(wanawake wanayovaa kwenye matiti ). Wanasayansi wa America wamegundua kuwa wanaovaa sidilia zaidi ya masaa 12 Wako kwenye hatari zaidi ya kupata Kansa ya matiti.
Wanasayansi wa bongo wanasemaje?
 
Hii niliiona somewhere kitambo sana this yr
 
Back
Top Bottom