Usikubali kuzeekea nyumbani

Usikubali kuzeekea nyumbani

Hatimaye nimevuna magunia 15 ya mpunga; kwa sasa natafuta mke wa kuoa aje tusaidiane kula mavuno yangu.

Kama wewe ni mrembo, na una uwezo wa kumshawishi equation x ili akuruhusu uje ule mavuno yake aliolima kwa shida, pita hapa mbele ukiwa unanesanesa.

Usikubali kuzeekea nyumbani, njoo kwa eqution x msaidizane kula mavuno yake.​
Shem hujawahi kumiliki akili 😹
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom